Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Wamehatarishaje amani na wanatumiwaje na mabeberu?Hii adhabu kimsingi ni ndogo, inapaswa kuboreshwa ili iwe kali zaidi.
Hivi vigazeti pamoja na Wamiliki wao ambao wanatumikia mabeberu kuhatarisha amani hapa Nchini wanapaswa kushughulikiwa kikamilifu ili iwe funzo shenz type.
limesemajeHahahaa hahaaa mbona Nipashe hawajaligusa?
katiba inakataa kuwashitaki na kwa kuwa haya ndo maslahi ya ccm basi watuache sisi tujadili mpaka tujue kwa kina uhusika wao na tukitosheka tutafungia ushahidi wetu kabatini kwa kuwa katiba inakataza kuwashitaki.Hapa ndipo serikali inapokosea. Sababu iliyotumika kulifungia hili gazeti ni dhaifu mno.
Mwakyembe anawatafutia matatizo wanasheria wa serikali ......... maana watatakiwa kuileta ile mikataba ili ionekane nani alisaini. Wamesahau Mkapa aliitwa kutoa ushahidi kesi ya Mahalu!!Sijui wakoje. Yaani kutaja tu kwamba Mkapa na Kikwete wanahusika, nchi nzima itiwa ugaidi. Kwani wao ni kwa nini wasitajwe!
Alilipwa lini na bei gani?wajiandae kulipa kama mwanahalisi alivyolipwa