Gazeti la Mwananchi limeongopa, Aliyemtishia Nape bastola sio mmoja wa waliokamatwa Mtwara

Gazeti la Mwananchi limeongopa, Aliyemtishia Nape bastola sio mmoja wa waliokamatwa Mtwara

Umeanza kuelewa Sasa, Henry ni deiwaka. Ila ngumi anapiga kweli tena sana
Hata nashangaa toka lini Henry akapata cheo cha urakibu wa police.
Gazeti limedanganya gilbert kalanje sie Henry

Screenshot_20220128_172154.jpg


Screenshot_20220128_172141.jpg


Screenshot_20220128_172311.jpg


Screenshot_20220128_172217.jpg


Screenshot_20220128_172420.jpg


Screenshot_20220128_172320.jpg


Screenshot_20220128_172516.jpg


3025643_JamiiForums2139368417.jpg
 
Anajulikana wala sio kwamba hajulikani. Mwananchi wamemkosea Gilbert kwa kumfananisha na Henry. Japo Gilbert hili suala la mauaji limemchafua sana ila ni moja ya polisi wazuri, ni mzee mwenye busara zake
Ana busara gani wakati mwuaji? Au unadhani aliua kwa bahati mbaya
 
Ana busara gani wakati mwuaji? Au unadhani aliua kwa bahati mbaya
Unajua kuna muda matukio yanatokea hadi mwenyewe unashangaa, Ila ndio binadamu walivyo. Huenda tamaa zilizidi, Ila kidogo anajitajidi tofauti na wengine
 
Anajulikana wala sio kwamba hajulikani. Mwananchi wamemkosea Gilbert kwa kumfananisha na Henry. Japo Gilbert hili suala la mauaji limemchafua sana ila ni moja ya polisi wazuri, ni mzee mwenye busara zake
Gilbert ni MZEE??
 
Unajua kuna muda matukio yanatokea hadi mwenyewe unashangaa, Ila ndio binadamu walivyo. Huenda tamaa zilizidi, Ila kidogo anajitajidi tofauti na wengine
Mkuu huyo Gilbert anajulikana sana kwa kutesa watu akishirikiana ONYANGO. Watu wameporwa mali nyingi kwa kusingiziwa kesi z ugaidi.
 
Ukiacha kutofanana, huyo hawezi kuwa na cheo chochote polisi. Zamani tulikua tunajua ni FFU, Ila hajawahi kuonekana na gwanda
So ni kama polisi Jamii but naona aliaminiwa hadi kuwa escot Chadema mahakamani.
Ndo uzuri wa teknolojia utunza ushahidi milele
Screenshot_20220128_175247.jpg


Screenshot_20220128_174857.jpg


Screenshot_20220128_174930.jpg


Screenshot_20220128_174916.jpg
 
Gazeti la mwananchi limeandika Aliyemtishia Nape bastola apandishwa kizimbani kwa makosa ya mauaji huko Mtwara.

Hii sio kweli, gazeti hili limeweka picha ya afande Gilbert na kuonyesha ndiye aliyemtishia Nape bastola.

Gilbert Kalanje ni SP wa police(mrakibu), wale wenye mwenge mmoja begani. Henry hajawahi kuwa na cheo hiki.
Aliyemtishia Nape sio huyo aliyeripotiwa na gazeti la mwananchi.

Sijajua kwa nini wamekosea hii taarifa, Henry Kisanduku hana uhusiano wowote na Gilbert Kalanje.

View attachment 2098332
Acha upumbavu ile ilikua diversion mission iliyofanikiwa zaidi. Henry wala hakuhusika ila alitumiwa kuficha ukweli wa swala lile.

Kama hujui mambo wala usihangaike
 
Acha upumbavu ile ilikua diversion mission iliyofanikiwa zaidi. Henry wala hakuhusika ila alitumiwa kuficha ukweli wa swala lile.

Kama hujui mambo wala usihangaike
Sijakuelewa na huenda pia hujanielewa. Hebu fafanua tena
 
Back
Top Bottom