Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Pamoja mkuuMbona amri tena mkuu. Haya nimetulia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja mkuuMbona amri tena mkuu. Haya nimetulia.
Mwananchi ni wajinga wanaotetea uvunjwaji wa sheria unaofanywa na Makamba.Mwananchi wanaangalia maslahi mapana ya taifa.
Bora aandikwe bb yoKwani kuna shida au wewe unateseka akiandikwa ukurasa wa mbele? Ulitaka aandikwe nani?
Taahira at your best 😆😆Bora aandikwe bb yo
Magovinda ya Kisumagang hayakosi cha kuongea Karamagi alipokuwa anapewa coverage hawakubweka!Kwa kua Mimi sio mnafiki, sio mfuata upepo, sio wakujikomba, leo ngoja nimtetee uyu kijana wa watu,
1. Kweli kabisa WENDA Sio KILA kitu anafanya kiko sawa ,maana pia yeye ni binadam,ila pia lazima kutuliza kichwa chambua ushauri wa wadau, maana mwingine ushauri upo na nia njema kwake Kama waziri na KWa taifa kiujumla.
2.Acheni msakama mtoto wa watu Yani Sasa jina lake imekua wimbo hapa jf, toa kero ndio ila pia shauri kipi kifanyike,
3. Mtazamo wa kiroho Sana inaniambia pamoja na mapungufu aliyonayo Kama binadam, ila nyuma yake ipo nguvu ya kuvunja utu wake ,kisa wengine wakifikila swala la Urais, au uwaziri mkuu, that is a fact.
5. Wenda ikawa hivyo lakin lini ametamka?
6. CCM 2025 haikai madarakani labda tu KWa kura Halali na sio vinginevyo ,ujumbe wa Mungu ukawafikie wanaccm popote mlipo, vinginevyo mtakumbuka maneno haya,
Mwisho
Mshaurin Uyu waziri bila Tashwishwi, au zihaka ,mtendeeni haki, and then naye akubali jishusha na kuchukua hoja zenye tija,sio shupaza shingo
Hutaki bb yo aandikwe?Taahira at your best 😆😆
Makamba akiandikwa inatosha..Wewe pimbi unataka nani aandikwe?Hutaki bb yo aandikwe?
Kwani kuna shida au wewe unateseka akiandikwa ukurasa wa mbele? Ulitaka aandikwe nani?Gazeti la Mwananchi
Kampeni ya kuhamasisha matumizi ya nishati mbadala ni muhimu hata kama ingefanywa na shetani ni ya kuungwa mkono. Mwananchi sio wajinga waandike habari ambazo haziuzi gazeti hasa ukichukulia kuwa sio la serikali. Bila shaka wamegundua kuwa habari za Januari zinauzika au kuongeza mauzo, vinginevyo Wanaopaswa kulalamika ni wenye hisa sio wasomaji. Sisi wengine kama hatupendi habari zao, kuna magazeti mengi sana.Mwananchi ni wajinga wanaotetea uvunjwaji wa sheria unaofanywa na Makamba.
Mfano. ni Sheria ya Ushindani 2003.
Bado kuna mambo ya kujiuliza sana tunaongea kishabiki tu humu lakini nimeangalia ziara ya Waziri Mkuu akiwa Singida Taarifa inaripotiwa na Elisante Mkumbo wa ITV SIngida hata Makamu wa Rais alipokuwa Moshi jana taarifa yake imeripotiwa na Ripota wa ITV Moshi, Fadhila Omari. Inaamana mnataka kutuambia Makamba ni Kiongozi mkubwa zaidi kuliko Waziri Mkuu na Makamu wa Rais ndio maana yeye anatembea na kundi la waandishi Special kutoka DarMhe. Makamba alichagua waandishi wa habari kutoka media chache kubwa ameambatana nao. Kwa mfano kws upande wa ITV yupo Benjamin Mzinga, kila siku lazima taarifa ya ziara yake ipewe airtime.
Kiujumla Mhe. Makamba amejipanga.
Swali zuri lingekuwa, "Je Serikali ina Ubia na Gazeti la Mwananchi?"Kampeni ya kuhamasisha matumizi ya nishati mbadala ni muhimu hata kama ingefanywa na shetani ni ya kuungwa mkono. Mwananchi sio wajinga waandike habari ambazo haziuzi gazeti hasa ukichukulia kuwa sio la serikali. Bila shaka wamegundua kuwa habari za Januari zinauzika au kuongeza mauzo, vinginevyo Wanaopaswa kulalamika ni wenye hisa sio wasomaji. Sisi wengine kama hatupendi habari zao, kuna magazeti mengi sana.
Bado kuna mambo ya kujiuliza sana tunaongea kishabiki tu humu lakini nimeangalia ziara ya Waziri Mkuu akiwa Singida Taarifa inaripotiwa na Elisante Mkumbo wa ITV SIngida hata Makamu wa Rais alipokuwa Moshi jana taarifa yake imeripotiwa na Ripota wa ITV Moshi, Fadhila Omari. Inaamana mnataka kutuambia Makamba ni Kiongozi mkubwa zaidi kuliko Waziri Mkuu na Makamu wa Rais ndio maana yeye anatembea na kundi la waandishi Special kutoka Dar
Mkuu mimi sina majibu ya hoja yako. Kimsingi kiongozi yeyote anapokuwa kwenye ziara huwa taarifa yake inatolewa na mwandishi wa habari wa eneo husika. Lakini hiyo ni tofauti kwa Mhe. Makamba tangu aanze ziara yake yupo na Benjamin Mzinga.Bado kuna mambo ya kujiuliza sana tunaongea kishabiki tu humu lakini nimeangalia ziara ya Waziri Mkuu akiwa Singida Taarifa inaripotiwa na Elisante Mkumbo wa ITV SIngida hata Makamu wa Rais alipokuwa Moshi jana taarifa yake imeripotiwa na Ripota wa ITV Moshi, Fadhila Omari. Inaamana mnataka kutuambia Makamba ni Kiongozi mkubwa zaidi kuliko Waziri Mkuu na Makamu wa Rais ndio maana yeye anatembea na kundi la waandishi Special kutoka Dar
Basi yatakuwa yanaandika habari za mumeo tu dadaTangu Waziri wa Nishati, Januari Makamba alivyoanza ziara yake ya mikoa 14 ya kugawa majiko ya gesi katika Mkoa wa Mara amekuwa akiandikwa ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanchi peke yake
Kama ziara hii ni ya kiserikali na ni ya kiongozi wa kitaifa kwanini magazeti mengine yakiwemo Nipashe, The Guardian, Daily News, Habari Leo, Uhuru, Mzalendo, Raia Mwema na mengineo hayazipi kipaumbele habari hizo kurasa za mbele?
Fuatilia tangu ameanza ziara yake utakubaliana na facts hizi.
Labda raia wa chatoWacha ajitangaze tu lakini Raia hawana time nae.
Basi atakuwa anarushwa mjomba ako wa kule kanyigu, sindio auITV pia naona JM anaambatana na mtangazaji wao na kila habari ya saa 2 usiku lazima arushwe.