Gazeti la Mwananchi lina ubia na Januari Makamba?

Gazeti la Mwananchi lina ubia na Januari Makamba?

ITV Super Brand Africa Mashariki imekubali chini ya Makamba kweli R.I.P Dk Reginald Mengi mtetezi wa wanyonge
Kweli ITV imekufa siku hizi kutoka kuwa chombo namba moja kinachosimamia masilahi ya wananchi wanyonge hadi kuwa chombo cha mtu tofauti na ilivyokuwa kabla ya kufariki kwa Mwasisi wake Dk. Reginald Abraham Mengi sasa hivi kinaruhusu hadi mwandishi wake wa Makao Makuu kutembea na Waziri mmoja ilihali mikoani kote wako wawakilishi wake. Mengi akifufuka leo akaikuta ITV yake ya wananchi inavyochezewa atalia machozi
 
Mkuu mimi sina majibu ya hoja yako. Kimsingi kiongozi yeyote anapokuwa kwenye ziara huwa taarifa yake inatolewa na mwandishi wa habari wa eneo husika. Lakini hiyo ni tofauti kwa Mhe. Makamba tangu aanze ziara yake yupo na Benjamin Mzinga.
Ili kuamini tafadhali leo saa 2 sogelea runinga yako wakati wa taarifa ya habari ya ITV utamsikia akiripoti taarifa ya Mhe. Makamba sehemu alipo leo.
Sasa Kama inakukera mkuu siungefungua case kabisa?! Yaan utaki waziri ziara yake itangazwe kwenye vyombo vya habari?
 
Kweli ITV imekufa siku hizi kutoka kuwa chombo namba moja kinachosimamia masilahi ya wananchi wanyonge hadi kuwa chombo cha mtu tofauti na ilivyokuwa kabla ya kufariki kwa Mwasisi wake Dk. Reginald Abraham Mengi sasa hivi kinaruhusu hadi mwandishi wake wa Makao Makuu kutembea na Waziri mmoja ilihali mikoani kote wako wawakilishi wake. Mengi akifufuka leo akaikuta ITV yake ya wananchi inavyochezewa atalia machozi
Sukuma gang mna chuki na Makamba
 
Sasa Kama inakukera mkuu siungefungua case kabisa?! Yaan utaki waziri ziara yake itangazwe kwenye vyombo vya habari?
Mbona umeniandama mkuu, wapi nimesema sitaki habari zake zitangazwe! Mimi nimempongeza kwa namna alivyojipanga kuhakikisha anapata airtime hapo ITV.
 
Mhe. Makamba alichagua waandishi wa habari kutoka media chache kubwa ameambatana nao. Kwa mfano kws upande wa ITV yupo Benjamin Mzinga, kila siku lazima taarifa ya ziara yake ipewe airtime.
Kiujumla Mhe. Makamba amejipanga.
Kajipanga nini
 
Tangu Waziri wa Nishati, Januari Makamba alivyoanza ziara yake ya mikoa 14 ya kugawa majiko ya gesi katika Mkoa wa Mara amekuwa akiandikwa ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanchi peke yake

Kama ziara hii ni ya kiserikali na ni ya kiongozi wa kitaifa kwanini magazeti mengine yakiwemo Nipashe, The Guardian, Daily News, Habari Leo, Uhuru, Mzalendo, Raia Mwema na mengineo hayazipi kipaumbele habari hizo kurasa za mbele?

Fuatilia tangu ameanza ziara yake utakubaliana na facts hizi.
[emoji38][emoji38][emoji38] Unafahamu maana ya neno Koneksheni ?
 
Makamba anafanya jambo la maana sana kuweka jitihada ya kuamia kwenye gesi badala ya mkaa.
 
Huyo jamaa anajitutumua sana.

Anadhani kunyoa kipara na kukunja mashati ndio kuwa na akili.

Anajichoresha mno.
Mwenzio Waziri!, We mdangaji, huoni Kama hampo sawa dada
 
Itoshe tu kusema hii nchi ina watu wana nongwa saaana. Watu wanamchukia January kisa katoka familia yenye unafuu wa maisha na yeye mwenyewe ana ushawishi. Hatuwezi kua sawa dunia hii mwacheni jamaa afanye kazi
 
Back
Top Bottom