Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Wewe chawa kila akitajwa Makamba lazima ufoke, hope unalipwa vizuriKwani kuna shida au wewe unateseka akiandikwa ukurasa wa mbele? Ulitaka aandikwe nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe chawa kila akitajwa Makamba lazima ufoke, hope unalipwa vizuriKwani kuna shida au wewe unateseka akiandikwa ukurasa wa mbele? Ulitaka aandikwe nani?
Sana na nyie aliwala akawatelekeza nini maana mkiona tuu Makamba lazima mje kuwashwa jukwaani.Wewe chawa kila akitajwa Makamba lazima ufoke, hope unalipwa vizuri
Chuki sio kwa maisha yake, hajui kazi mbabaishaji tuu, na alipotokea wana maisha ya kawaida sanaItoshe tu kusema hii nchi ina watu wana nongwa saaana. Watu wanamchukia January kisa katoka familia yenye unafuu wa maisha na yeye mwenyewe ana ushawishi. Hatuwezi kua sawa dunia hii mwacheni jamaa afanye kazi
Jamaa yeye kachagua kudanga kwenye siasa huoni matangazo yake kwenye magazeti??Mwenzio Waziri!, We mdangaji, huoni Kama hampo sawa dada