Kweli ITV imekufa siku hizi kutoka kuwa chombo namba moja kinachosimamia masilahi ya wananchi wanyonge hadi kuwa chombo cha mtu tofauti na ilivyokuwa kabla ya kufariki kwa Mwasisi wake Dk. Reginald Abraham Mengi sasa hivi kinaruhusu hadi mwandishi wake wa Makao Makuu kutembea na Waziri mmoja ilihali mikoani kote wako wawakilishi wake. Mengi akifufuka leo akaikuta ITV yake ya wananchi inavyochezewa atalia machoziITV Super Brand Africa Mashariki imekubali chini ya Makamba kweli R.I.P Dk Reginald Mengi mtetezi wa wanyonge
Sasa Kama inakukera mkuu siungefungua case kabisa?! Yaan utaki waziri ziara yake itangazwe kwenye vyombo vya habari?Mkuu mimi sina majibu ya hoja yako. Kimsingi kiongozi yeyote anapokuwa kwenye ziara huwa taarifa yake inatolewa na mwandishi wa habari wa eneo husika. Lakini hiyo ni tofauti kwa Mhe. Makamba tangu aanze ziara yake yupo na Benjamin Mzinga.
Ili kuamini tafadhali leo saa 2 sogelea runinga yako wakati wa taarifa ya habari ya ITV utamsikia akiripoti taarifa ya Mhe. Makamba sehemu alipo leo.
Sukuma gang mna chuki na MakambaKweli ITV imekufa siku hizi kutoka kuwa chombo namba moja kinachosimamia masilahi ya wananchi wanyonge hadi kuwa chombo cha mtu tofauti na ilivyokuwa kabla ya kufariki kwa Mwasisi wake Dk. Reginald Abraham Mengi sasa hivi kinaruhusu hadi mwandishi wake wa Makao Makuu kutembea na Waziri mmoja ilihali mikoani kote wako wawakilishi wake. Mengi akifufuka leo akaikuta ITV yake ya wananchi inavyochezewa atalia machozi
Mbona umeniandama mkuu, wapi nimesema sitaki habari zake zitangazwe! Mimi nimempongeza kwa namna alivyojipanga kuhakikisha anapata airtime hapo ITV.Sasa Kama inakukera mkuu siungefungua case kabisa?! Yaan utaki waziri ziara yake itangazwe kwenye vyombo vya habari?
Staki aandikwe pmbi, nataka aandikwe bb yoMakamba akiandikwa inatosha..Wewe pimbi unataka nani aandikwe?
Unateseka ukiwa wapi? 😆😆.Staki aandikwe pmbi, nataka aandikwe bb yo
bbyo ataandikwa tu hata Kwa kalamu laini laini yenye ncha kama mhogoUnateseka ukiwa wapi? 😆😆.
Kuna magazeti ya nyie Sukuma gang na chodomo kusoma Wala hayamuandiki Makamba..
Uzuri siku hizi mumeungana kuugulia maumivu 😬😬
Kajipanga niniMhe. Makamba alichagua waandishi wa habari kutoka media chache kubwa ameambatana nao. Kwa mfano kws upande wa ITV yupo Benjamin Mzinga, kila siku lazima taarifa ya ziara yake ipewe airtime.
Kiujumla Mhe. Makamba amejipanga.
Tanzania nzima hawana time na brazameni wa Bumbuli.Labda raia wa chato
Labda nyie mazuzu ya mwendazake!Tanzania nzima hawana time na brazameni wa Bumbuli.
Ndio maana anajipitisha pitisha wamuone.
Huyo jamaa anajitutumua sana.Labda nyie mazuzu ya mwendazake!
[emoji38][emoji38][emoji38] Unafahamu maana ya neno Koneksheni ?Tangu Waziri wa Nishati, Januari Makamba alivyoanza ziara yake ya mikoa 14 ya kugawa majiko ya gesi katika Mkoa wa Mara amekuwa akiandikwa ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanchi peke yake
Kama ziara hii ni ya kiserikali na ni ya kiongozi wa kitaifa kwanini magazeti mengine yakiwemo Nipashe, The Guardian, Daily News, Habari Leo, Uhuru, Mzalendo, Raia Mwema na mengineo hayazipi kipaumbele habari hizo kurasa za mbele?
Fuatilia tangu ameanza ziara yake utakubaliana na facts hizi.
[emoji38][emoji38][emoji38]Mwananchi wanaangalia maslahi mapana ya taifa.
Halifai hata kufungia vitumbua.Hili gazeti limekuwa hovyo sana.
🚮🚮🚮🚮bbyo ataandikwa tu hata Kwa kalamu laini laini yenye ncha kama mhogo
Mwenzio Waziri!, We mdangaji, huoni Kama hampo sawa dadaHuyo jamaa anajitutumua sana.
Anadhani kunyoa kipara na kukunja mashati ndio kuwa na akili.
Anajichoresha mno.