Mleta mada nawe wale wale.Ni mara ha pili jana ndani ya mwaka huu gazeti la mwananchi linalefa habari ileile kuhusu uwanja wa ndege wa Chato kutokuwa na ndege hata moja inayotua!
Story ni ileile na wanakazia ata ukienda kufanya booking hukuti ndege!
Tangazo la ATCL siku 5 zilizopita hili hapa kutoka account yao ya twitter.
View attachment 2699906
Bado nikaamua niende kufanya booking nione, nikakuta kuna ndege ya kesho tarehe 27! Bado nawaza story ileile mara ya 2 inaibuka Mwananchi mdani ya mwaka mmoja! Mwananchi kulikoni?
View attachment 2699912
View attachment 2699915
Anayepambana ni nani? ATC asiyepeleka ndege huko, au aliyetoa taarifa kuwa ndege haziendi huko?Sijui wanapata faida gani kupambana na mtu aliyefariki miaka miwili iliyopita[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wameandika ukutani : SUPU IPO lakini ukienda ndani hakuna kitu.Ni mara ha pili jana ndani ya mwaka huu gazeti la mwananchi linalefa habari ileile kuhusu uwanja wa ndege wa Chato kutokuwa na ndege hata moja inayotua!
Story ni ileile na wanakazia ata ukienda kufanya booking hukuti ndege!
Tangazo la ATCL siku 5 zilizopita hili hapa kutoka account yao ya twitter.
View attachment 2699906
Bado nikaamua niende kufanya booking nione, nikakuta kuna ndege ya kesho tarehe 27! Bado nawaza story ileile mara ya 2 inaibuka Mwananchi mdani ya mwaka mmoja! Mwananchi kulikoni?
View attachment 2699912
View attachment 2699915
Ndege zinaendaAnayepambana ni nani? ATC asiyepeleka ndege huko, au aliyetoa taarifa kuwa ndege haziendi huko?
Hiyo safari baada ya ku book ulisafiri?Ni mara ha pili jana ndani ya mwaka huu gazeti la mwananchi linalefa habari ileile kuhusu uwanja wa ndege wa Chato kutokuwa na ndege hata moja inayotua!
Story ni ileile na wanakazia ata ukienda kufanya booking hukuti ndege!
Tangazo la ATCL siku 5 zilizopita hili hapa kutoka account yao ya twitter.
View attachment 2699906
Bado nikaamua niende kufanya booking nione, nikakuta kuna ndege ya kesho tarehe 27! Bado nawaza story ileile mara ya 2 inaibuka Mwananchi mdani ya mwaka mmoja! Mwananchi kulikoni?
View attachment 2699912
View attachment 2699915
Wametumwa hao ndege ipo kila Alhamis na tunaipanda kila mara.Ni mara ha pili jana ndani ya mwaka huu gazeti la mwananchi linalefa habari ileile kuhusu uwanja wa ndege wa Chato kutokuwa na ndege hata moja inayotua!
Story ni ileile na wanakazia ata ukienda kufanya booking hukuti ndege!
Tangazo la ATCL siku 5 zilizopita hili hapa kutoka account yao ya twitter.
View attachment 2699906
Bado nikaamua niende kufanya booking nione, nikakuta kuna ndege ya kesho tarehe 27! Bado nawaza story ileile mara ya 2 inaibuka Mwananchi mdani ya mwaka mmoja! Mwananchi kulikoni?
View attachment 2699912
View attachment 2699915
Taarifa ya uongo unaiamini? Ndege inaenda na nj flight TC 131 tunaipanda kila Alhamis mkuu achana na hao wapotoshajiAnayepambana ni nani? ATC asiyepeleka ndege huko, au aliyetoa taarifa kuwa ndege haziendi huko?
Ndege inaenda kila Alhamisi tunaipanda kila mara ni Flight TC 131Hiyo safari baada ya ku book ulisafiri?
Au ndio wale wale abiria hewa wa kwenda Chato?
Kesho ni Alhamisi tarehe 27 July. Bado masaa machache tu kumthibitishia. Zama hizi siyo za kubishana kama majuha.Ndege inaenda kila Alhamisi tunaipanda kila mara ni Flight TC 131
Umewahi kuwa hewa wewe? Au unaongea upumbavu tu hapaHiyo safari baada ya ku book ulisafiri?
Au ndio wale wale abiria hewa wa kwenda Chato?
Hao mwananchi communication watajuana na walinda legacy huko acha wauane!!!Ni mara ha pili jana ndani ya mwaka huu gazeti la mwananchi linalefa habari ileile kuhusu uwanja wa ndege wa Chato kutokuwa na ndege hata moja inayotua!
Story ni ileile na wanakazia ata ukienda kufanya booking hukuti ndege!
Tangazo la ATCL siku 5 zilizopita hili hapa kutoka account yao ya twitter.
View attachment 2699906
Bado nikaamua niende kufanya booking nione, nikakuta kuna ndege ya kesho tarehe 27! Bado nawaza story ileile mara ya 2 inaibuka Mwananchi mdani ya mwaka mmoja! Mwananchi kulikoni?
View attachment 2699912
View attachment 2699915
Nimekujibu kwenye andiko langu.Wewe ndio zero kabisa ndege ipo kila Alhamis mwenzako ameleta ushahidi kutoka kwenye web ya ATCL wewe unaleta maneno matupu nilitegemea ungeleta taarifa ya ATCL inayosema wamesitisha safari za Chato au unafikiri lazima waandike Chato? Uwanja wa Chato unaitwa uwanja wa Geita mkuu.
Watakuwa wanashangaza kuandika uongo!Ndege zinaenda
Duh!Wametumwa hao ndege ipo kila Alhamis na tunaipanda kila mara.
Wabongo bongo zenu zina wadudu. Unadhani hiyo screenshot Ka I construct .ukoenda mahakamani we ni kubishi tu Ka mruma maana hiyo ni evidenceMleta mada nawe wale wale.
Wewe unakuja na screenshots za app ya kununua tiketi, wakati kiuhalisia huwezi kununua tiketi au kusafiri kwa sasa kwenda Chato kwa ATCL.
Sababu za msingi ziko wazi na very logical. Wahusika wamesema safari zimesitishwa maana hakuna wasafiri wa kutosha wa kwenda Chato, ATCL ambayo ndio kampuni pekee iliyokuwa inafanya safari zake Chato kwa sasa wana ndege chache zinazofanya kazi na uhuhitaji sehemu zingine zenye wasafiri ni mkubwa zaidi kuliko Chato.
Kipi cha ajabu?
Kipi kipya?