Gazeti la Mwananchi linaongopa kuhusu uwanja wa ndege wa Chato

Gazeti la Mwananchi linaongopa kuhusu uwanja wa ndege wa Chato

Usikasirike, mko wengi mlipenda uwanja wa ndege wa kimataifa.
Sasa ndo wakati wa kutumia xile nyungo zenu.
Kwa ungo, Dar-Geita dk 3, mizigo inafuata na ungo freighter!
Nimekuuliza swali! Wewe umewahi kuwa miongoni mwa abiria hewa wa chatto?
 
Nimekujibu kwenye andiko langu.
Wewe unakuja na blah blah za app na mitandaoni lakini hataki kukubali uhalisia. Nimekwambia kwa sasa hakuna ndege ya abiria inayotua Chato kwa sababu abiria hakuna na ATCL hawana ndege za kutosha.

Kama huamini hayo fanya haya:
-Onyesha orodha ya ndege zilizotua Chato siku za karibuni.
-Fanya booking leo ili kesho usafiri kuja Chato kama unadhani hiyo route iko active.
Unamaanisha hii au?
Screenshot_2023-07-26-23-53-24-33_8a6ce7ef6b1c5341b022b20d7fbb4b6e.jpg
 
Mleta mada nawe wale wale.
Wewe unakuja na screenshots za app ya kununua tiketi, wakati kiuhalisia huwezi kununua tiketi au kusafiri kwa sasa kwenda Chato kwa ATCL.

Sababu za msingi ziko wazi na very logical. Wahusika wamesema safari zimesitishwa maana hakuna wasafiri wa kutosha wa kwenda Chato, ATCL ambayo ndio kampuni pekee iliyokuwa inafanya safari zake Chato kwa sasa wana ndege chache zinazofanya kazi na uhuhitaji sehemu zingine zenye wasafiri ni mkubwa zaidi kuliko Chato.

Kipi cha ajabu?
Kipi kipya?
Wahusika gani wanasema wamesitisha wakati ndege inaenda kila week mara mbili - Alhamisi na Jumamosi?
 
Ni mara ha pili jana ndani ya mwaka huu gazeti la mwananchi linalefa habari ileile kuhusu uwanja wa ndege wa Chato kutokuwa na ndege hata moja inayotua!

Story ni ileile na wanakazia ata ukienda kufanya booking hukuti ndege!

Tangazo la ATCL siku 5 zilizopita hili hapa kutoka account yao ya twitter.
View attachment 2699906
Bado nikaamua niende kufanya booking nione, nikakuta kuna ndege ya kesho tarehe 27! Bado nawaza story ileile mara ya 2 inaibuka Mwananchi mdani ya mwaka mmoja! Mwananchi kulikoni?
View attachment 2699912
View attachment 2699915View attachment 2700096
Achana nao ,wao badala wapambane na bandari wapo busy na chato...
 
Ni mara ha pili jana ndani ya mwaka huu gazeti la mwananchi linalefa habari ileile kuhusu uwanja wa ndege wa Chato kutokuwa na ndege hata moja inayotua!

Story ni ileile na wanakazia ata ukienda kufanya booking hukuti ndege!

Tangazo la ATCL siku 5 zilizopita hili hapa kutoka account yao ya twitter.
View attachment 2699906
Bado nikaamua niende kufanya booking nione, nikakuta kuna ndege ya kesho tarehe 27! Bado nawaza story ileile mara ya 2 inaibuka Mwananchi mdani ya mwaka mmoja! Mwananchi kulikoni?
View attachment 2699912
View attachment 2699915View attachment 2700096
Hapo umefanya Booking ya Geita. Uwanja wa Geita upo siku zote. Ndege inaenda mara moja kwa Wiki.

Tunaomba ufanye Booking ya Chato.

Kuna Uwanja wa Geita na Uwanja wa Chato. Wewe unajadili Uwanja wa Geita ila Mwananchi wamwzungumzia Uwanja Chato.

Tunaomba hata picha ya Tiketi ya Chato.
Screenshot_20230727-041215.png
 
Wale walishajifia, juzi nimeona wanasema waandishi wao wameshambuliwa na gari kuharibiwa, gari yenyewe noah imechoka imekongoroka, hata millard anawashinda, ile gari ikikugusa usipopata kansa basi tetenasi utakuua.

Gazeti hawalipi mishahara kwa miezi hadi 4.

Legacy media zilishajifia, ni kifo cha punda, anarusha mateke mara moja moja ya mwisho mwisho
 
Hivi, naomba kufahamu, gazeti la mwananchi linamilikiwa na nani, na hili la zanziberleo linamilikiwa na nan?. (nayapenda kuyasoma, natamani kuelewa zaidi pia.)
 
Hivi, naomba kufahamu, gazeti la mwananchi linamilikiwa na nani, na hili la zanziberleo linamilikiwa na nan?. (nayapenda kuyasoma, natamani kuelewa zaidi pia.)
Mwananchi linamilikiwa na media ya kenya, znz leo nafikiri ni la serikali ya znz
 
Mwananchi ni wapuuzi tu na ni wa kupuuzwa.lengo lao ni ili ionekane magufuli alikosea kujenga uwanja kama vile huko ni nje ya Tanzania.
 
Hapo umefanya Booking ya Geita. Uwanja wa Geita upo siku zote. Ndege inaenda mara moja kwa Wiki.

Tunaomba ufanye Booking ya Chato.

Kuna Uwanja wa Geita na Uwanja wa Chato. Wewe unajadili Uwanja wa Geita ila Mwananchi wamwzungumzia Uwanja Chato.

Tunaomba hata picha ya Tiketi ya Chato.
View attachment 2700125
Unaelewa unachokiongea kweli?
 
Uwanja wa Arusha una ndege 24hrs mnaenda kujenga uwanja chato? Taahira yule na mwehu mkubwa Sana!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
*Arusha to Geita km 790+ hutaki kuwe na uwanja wa Ndege

* Dar to Mtwara Km 560+ kote kuna uwanja wa ndege na inafanya kazi

*Dar to Dodoma Km 560+ kote kuna uwanja wa ndege sasa sijui unamaanisha kuwa kukiwa na uwanja wa ndege point a basi mkoa mwingine usiwepo!
 
Back
Top Bottom