Mpinzire njoo hapa ujibuHapo umefanya Booking ya Geita. Uwanja wa Geita upo siku zote. Ndege inaenda mara moja kwa Wiki.
Tunaomba ufanye Booking ya Chato.
Kuna Uwanja wa Geita na Uwanja wa Chato. Wewe unajadili Uwanja wa Geita ila Mwananchi wamwzungumzia Uwanja Chato.
Tunaomba hata picha ya Tiketi ya Chato.
View attachment 2700125
Shauri yako.Hivi kumbe ni miwili tu?? Yani najihisi kama kumi imepita
Mkuu shukurani sana, dah kumbe znz leo ni la serikali aisee.Mwananchi linamilikiwa na media ya kenya, znz leo nafikiri ni la serikali ya znz
Hapo nimetaja ATCL bado zipo zile za kukodi za watalii wanaoenda mbungani. Tumia akili kidogo mkuu ulizopewa na Mungu. Pia ujue nilikuwa na mjibu mleta uzi alieyezungumzia specific ATCL.Duh!
Yaani mnakuja hapa kifua mbele kabisa kusema ndege ipo once a week!
Gharama zote zilizotumika leo mnajisifu kwa kindege kimoja weekly.
Acha uongo halafu wewe unapata faida gani kusema uongo? Mimi nimesafiri na ndege hiyo Alhamisi iliyopita pia leo imeenda hata basi google Flight TC131 ili uwe na uhakika. Wewe unafikiri sisi wauza madini tunasafiri na nini toka Geita pia uelewe uwanja unaitwa Geita siyo Chato ila upo eneo la Chato.Nimekujibu kwenye andiko langu.
Wewe unakuja na blah blah za app na mitandaoni lakini hataki kukubali uhalisia. Nimekwambia kwa sasa hakuna ndege ya abiria inayotua Chato kwa sababu abiria hakuna na ATCL hawana ndege za kutosha.
Kama huamini hayo fanya haya:
-Onyesha orodha ya ndege zilizotua Chato siku za karibuni.
-Fanya booking leo ili kesho usafiri kuja Chato kama unadhani hiyo route iko active.
Kuna gharama gani ilitumika chato ni tofauti na kiwanja cha karagwe au Kongwa?Duh!
Yaani mnakuja hapa kifua mbele kabisa kusema ndege ipo once a week!
Gharama zote zilizotumika leo mnajisifu kwa kindege kimoja weekly.
Huamini kua alikoseaMwananchi ni wapuuzi tu na ni wa kupuuzwa.lengo lao ni ili ionekane magufuli alikosea kujenga uwanja kama vile huko ni nje ya Tanzania.
Watalii wanaoshukia mbuga ipiHapo nimetaja ATCL bado zipo zile za kukodi za watalii wanaoenda mbungani. Tumia akili kidogo mkuu ulizopewa na Mungu. Pia ujue nilikuwa na mjibu mleta uzi alieyezungumzia specific ATCL.
Mnapenda umaskin sn nyiny , uwanj gan uwe wa kimataifa au alipoweka vioo ndo mkaona ndo umataifa huo ?ila alipoweka stend ya Mbez mwisho hamkulalama. Kafanya meng sana hamuez pongeza ila kujenga airport imekuwa ttzoUsikasirike, mko wengi mlipenda uwanja wa ndege wa kimataifa.
Sasa ndo wakati wa kutumia xile nyungo zenu.
Kwa ungo, Dar-Geita dk 3, mizigo inafuata na ungo freighter!
Chato ilitumika zaidi ya bil 30Kuna gharama gani ilitumika chato ni tofauti na kiwanja cha karagwe au Kongwa?
Burigi na kule ziwani. Tena ATCL wameniambia kumbe wanaenda mara mbili kwa wiki Alhamisi na Jumamosi kila wiki.Watalii wanaoshukia mbuga ipi
Mkuu mbona hiyo International Airport ilimtosha mwenyewe tu Mwendazake.Mnapenda umaskin sn nyiny , uwanj gan uwe wa kimataifa au alipoweka vioo ndo mkaona ndo umataifa huo ?ila alipoweka stend ya Mbez mwisho hamkulalama. Kafanya meng sana hamuez pongeza ila kujenga airport imekuwa ttzo View attachment 27008347View attachment 2700847View attachment 2700846View attachment 2700848