Tetesi: Gazeti la Mwananchi lipo hatarini kupigwa BAN na serikali

Tetesi: Gazeti la Mwananchi lipo hatarini kupigwa BAN na serikali

NA WEWE UWE NA ADABU HAPA SIYO MAHALI PA KUTUKANA YAMKINI KUNA WATU NI WAJUZI WA KUTUKANA KULIKO WEWE.
Ni kweli kabisa mwenye busara na hekima huleta hoja na kuchalenge ila alie filisika fikra huleta matusi, ni mbaya sana kufilisika akili au fikira, mambo mengi watu wanaeleza kwa kutumia mifano ndoo mijadala ilivyo. Baba Jane anaweza kujifungua hlo gazeti kwakuwa ametuaminisha kwamba anacumlate tax to the extent, na mirad yote ni kodi anayokusanya kwahyo suala la deni kuongezeka kwake analiona kama kadhalilishwa kumbe ndoo uhalisia wenyewe
 
Sina hofu hata wakifungia magazeti yote, Televisheni zote, Redio zote, na Mitandao yote ya kijamii. Hofu yangu ni siku wakiamua kufungia wale wenye mawazo tofauti na ya kwao!

Yes.

Kwa sbb watafungia makaratasi....

Lakini ni vyema sana wakawafunga wanaoweka mawazo yao ktk makaratasi...

Ukiwanyang'anya makaratasi (mbao za kuandikia mawazo yao), ni wazi binadamu hadhibitiki, atatafuta tu namna nyingine ya kutoa mawazo yake ili awe "heard" au asomeke na hakika yatawafikia tu walengwa....

The best way ya kufunga mawazo ya watu, is to silence them forever..... yaani waue wote kabisa wanaosema kwa njia yoyote kile usichokitaka kisemwe kama walivyojaribu kumuua Tundu Lissu!!

The question is: Itawezekana??

Nadhani hapa ndipo ilipo hofu yako. Lakini, nakutia moyo kwa kukuambia kuwa, imeandikwa ,

".....msiposema ninyi, msipoandika ninyi, basi hakika mawe na miti itainuka na kusema..... "

There's no way waweza kuzuia watu kufikiri na kutoa mawazo yao kwa sbb huu ni wito wa ki Mungu....!!
 
Ni kweli kabisa mwenye busara na hekima huleta hoja na kuchalenge ila alie filisika fikra huleta matusi, ni mbaya sana kufilisika akili au fikira, mambo mengi watu wanaeleza kwa kutumia mifano ndoo mijadala ilivyo. Baba Jane anaweza kujifungua hlo gazeti kwakuwa ametuaminisha kwamba anacumlate tax to the extent, na mirad yote ni kodi anayokusanya kwahyo suala la deni kuongezeka kwake analiona kama kadhalilishwa kumbe ndoo uhalisia wenyewe
Ni kweli kabisa mwenye busara na hekima huleta hoja na kuchalenge ila alie filisika fikra huleta matusi, ni mbaya sana kufilisika akili au fikira, mambo mengi watu wanaeleza kwa kutumia mifano ndoo mijadala ilivyo. Baba Jane anaweza kujifungua hlo gazeti kwakuwa ametuaminisha kwamba anacumlate tax to the extent, na mirad yote ni kodi anayokusanya kwahyo suala la deni kuongezeka kwake analiona kama kadhalilishwa kumbe ndoo uhalisia wenyewe
POINT TUPU MKUU LIKE YANGU NIMEITENDEA HAKI.
 
H
Wapigwe BAN tuu. Kwa nini wanatufadhaisha sisi walala hoi?? Deni hilo limeongezeka kwa sababu gani wakati tumewagundua wafanyakazi hewa, madeni hewa, likizo hewa na uzazi hewa?? Wapiga dili hewa?? Fedha yote tuliyoiponya huko si tutafidia madeni? Litaongezekaje?
ahhahhaha hahahahhahahahahahahahahahhaahahahahahhhhahahahahhahhahahahahahahahahahahahahhahhahaahahahhaahhahahahhhahahahahahahah
 
0a1b8a9ea4f0c7ff96244a72a1df60eb.jpg

Serikali inataka yabaki haya
 
Kama kaukweli kapo basi nyama imepata kwenye kisu. Kinachofuata ni kuanza kufunga vichwa vyenye mawazo pevu.
 
Hahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukiona kila mtu anakusema vibaya haimaanishi kuwa wana tatizo, tatizo ni wewe
 
NITAANZISHA GAZETI LANGU NA VICHWA HABARI VITAKUWA HV

1. ACACIA WASALIMU AMRI KWA TINGATINGA
2. USA WAOMBA MKOPO TZ
3. 80% YA WATZ WATAKA JPM AONGOZE MPAKA AZEEKE KAMA MUGABE
4. SHULE ZA KATA ZASHKA TOP TEN MATOKEO YA FORM 4
5. WANAFUNZ WOTE WA ELIMU YA JUU WAPATA MIKOPO
6. DENI LATAIFA LIMEISHA

Note:
Kama tu nakala zote zitanunuliwa na utawala, vinginevyo hasara tupu.
Daaa mkuu umenichekeshaje tokea asubuhi mpaka muda huu ndipo nimetoa kicheko hiki.

Hongera sana kwa kunifurahisha
 
WAANDISHI WANAFIKI SANA walimvalisha kiatu cha ngozi Wajiandae na kukifuta vumbi maana safari yetu NI ya ROUGH ROAD
 
H

ahhahhaha hahahahhahahahahahahahahahhaahahahahahhhhahahahahhahhahahahahahahahahahahahahhahhahaahahahhaahhahahahhhahahahahahahah

Mbona unanicheka tena, kwani uongo kuwa tuliokoa mihela na mihela?? Nauliza, hilo deni litaaongezeka vipi huku tumenunua na ma bombardier 6 cash. Wafungine maisha labda waanzishe vijigazeti vingine.
 
Back
Top Bottom