Gazeti la Mwananchi mna agenda ya kuchafua BAKWATA na Uislamu?

Gazeti la Mwananchi mna agenda ya kuchafua BAKWATA na Uislamu?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Gazeti la Mwananchi la leo limekuja na kichwa cha habari kikubwa "Bakwata ilivyokoleza mjadala wa umri wa kuolewa"

Huku likiwa likiweka picha ya mtoto wa miaka 6 kwenye ukurasa huo. Najiuliza lengo la kuweka hii picha ni kuwa wanamaanisha Bakwata wanaunga mkono watoto wa miaka 6 kuolewa?

Bakwata walikuwa wazi ni mtoto wa miaka 14 ambaye amekwisha balehe. Picha inaongea zaidi ya maneno

FB_IMG_1679989641868.jpg
 
Peleka ujinga huko hyo bakwata yenu aka ccm b ichafuliwe kwa lipi?
 
Naungana na BAKWATA hayo mambo ya sijui mtoto wakati kesha vinja ungo yametoka wapi?

Maana ya kuvunja ungo ninini?waache kuleta siasa za kipuuzi hawa , bint akisha vunja ungo huyo si mtoto tena NASIMAMA NA BAKWATA.
 
Tatizo uelewa tu mkuu usitake kulilaumu gazeti, wao wenyewe waislamu wanaamini mtume muhamad alianza kuishi na mchumba wake ambaye alikuwa na umri wa miaka sita,ila kwakua unataka kulipa gazeti lawama ni sawa.
 
Kwan hapo kosa la gazeti ni Nini? Kama mtume wenu alikua na miaka 55 akaoa miaka 6. Na ndo role model wenu. Na ficha ujinga wako kabisa. Ndoa za utoton tutazipinga Kwa nguvu zote

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
HAO NI UZAO WA SHETANI.
KUUA.
KUOA WATOTO WADOGO.
KUFUGA MAJINI.

kitabu Chao kilishishwa na shetani.
Saizi wamekazana kuabudu Mwezi kuliko Mumuabudu Mungu.

Nawaonea huruma sana.
 
Back
Top Bottom