nilikuwa natafuta comment yakoUncondionational bae SIYO MTANZANIA HUYO EEH? Mitimu hii
Remember neno bae ni moja ya maneno yaliyotafutwa sana mtandaoni na watanzania, siyo wakenya, so you know the role of king kiba in this
Uncondionational bae SIYO MTANZANIA HUYO EEH? Mitimu hii
Remember neno bae ni moja ya maneno yaliyotafutwa sana mtandaoni na watanzania, siyo wakenya, so you know the role of king kiba in this
Huyo mondi wimbo wa cover ndio umemtoaWapi Ali Kiba????
Kwa heshima na taadhima naombs nikwambie si kweli..We msukule wa madale....Wimbo wa Unconditional bae ni Wimbo unaomilikiwa kwa pamoja Kati ya Ali na Sauti Sol..
Ni kama ilivyo kwa Make me sing ni ngoma ya pamoja Kati ya A.K.A na Dimond.
Hao walioweka hiyo list hawajui kitu na wewe unae-sapoti pia hujui kitu
Acha zako hizo wewe,mambo ya k/koo tuachie wa k/koo.Kwa heshima na taadhima naombs nikwambie si kweli..
Huo wimbo ameshirikishw sio wimbo wa pamoja!
Eidha haujui au unajipotosha makusudi..
Wimbo pekee wa pamoja aliotoa kiba this year ni kajiandae alioimba na dimpoz..
Babes, seriously?? [emoji15] [emoji15] [emoji15]Hivi wimbo wa Salome ni wa Diamond au Rayvany?
Mbona mnamnyang'anya kijana wa watu wimbo wake jamani?
Halafu katika huu wimbo Chibu kapotezwa sana na Ray, nashauri asijaribu kushiriki wimbo mwingine tena na huyu kijana.
Boss kagaragazwa vibaya hadi aibu.
Sasa mbona ukitizama video (achana na title ya YouTube) video yenyewe inavyoanza imeandikwa "Sauti Sol featuring Ali kiba" ????Acha zako hizo wewe,mambo ya k/koo tuachie wa k/koo.
Unconditionally bae ni wimbo wa pamoja wa Sauti Sol na Ali Kiba.
Period [emoji6]
Umesema hivi kwa sababu umeamua kusema au Umesema hivi kwa mujibu wao wenyewe?!Kwa heshima na taadhima naombs nikwambie si kweli..
Huo wimbo ameshirikishw sio wimbo wa pamoja!
Eidha haujui au unajipotosha makusudi..
Wimbo pekee wa pamoja aliotoa kiba this year ni kajiandae alioimba na dimpoz..
Toa point kupinga hoja zangu otherwise wewe ni Hater tu.Elimu yako Ni duni Sana kisa team
Ww unafangasi kichwaniGuardian ni gazeti la udaku tu linalochochea bifu la kiba na diamond!
Wakenya ni wajanja wajanja kama Team Madale kila kitu kizuri wataka kiwe Chao.Hebu angalia huu mkanganyiko
halafu nipe jibu
Nahisi, damu za mwezini zimekuchanganyaAcha zako hizo wewe,mambo ya k/koo tuachie wa k/koo.
Unconditionally bae ni wimbo wa pamoja wa Sauti Sol na Ali Kiba.
Period [emoji6]
Mkuu mimi ninachojua ukiiangalia video mwanzoni kabisa maandishi ya kutambulisha nyimbo yanasema "Sauti Sol featuring Ali Kiba..Umesema hivi kwa sababu umeamua kusema au Umesema hivi kwa mujibu wao wenyewe?!
Nikuulize unajua kwanini Ali haku-post kitu chochote kwenye mitandao yake ya kijamii baada ya ule wimbo kutoka ni Sauti Sol Peke yao waliokuwa wanapiga promo kwenye mitandao we unajua kwanini ilikuwa vile?!
Punguza chuki mkuu azikupi faida yoyote
Umejitahidi kujenga hoja ya maana,lakini sasa ukitaka KUDHIBITISHA KUWA HUO WIMBO UNA MKANGANYIKO ANGALIA HATA MWANZO WA HIYO VIDEO IMEANDIKWA "Sauti sol feat Alikiba" (na hata hapo ukiangalia kwa mbali unaona hayo maandishi) Kwahiyo musiwaone wabongo wajinga kwa kuuita ni wimbo wa wakenya kwavile una mkanganyiko sana,kwingine feat na kwingine ni colabo.
Wakuu nimepitia maelezo ya kwenye hiyo video vizuri na nilicho elewa huwo wimbo ni wa pamoja aliye chukuwa hiyo video ndio kachanganya kwenye kuingiza hayo maneno pitieni maelezo vizuri hapo chini[emoji116]Hebu angalia huu mkanganyiko
halafu nipe jibu
Cc my unconditionally bae The boldWakuu nimepitia maelezo ya kwenye hiyo video vizuri na nilicho elewa huwo wimbo ni wa pamoja aliye chukuwa hiyo video ndio kachanganya kwenye kuingiza hayo maneno pitieni maelezo vizuri hapo chini[emoji116]
Simbaaa wAtu weeeweeeeGazeti ya the guardian la uingereza litemtoa nyimbo kali za mwaka 2016 zilizotikisa africa.
Katika orodha hiyo tanzania imebahatika kuingia nyimbo 1 tena ikishika nafasi ya 2,
Diamond platnumz kupitia wimbo wake wa salome amefanikiwa kushika nafasi ya 2 huku, nafasi ya kwanza ikienda nigeria kwa kuchukuliwa na msanii Tekno na wimbo wake wa Pana
View attachment 449206
Orodha kamili
1. Pana -- tekno
2. Salome -- diamond ft rayvany
3. Hollup -- mr eazi ft joey B and danny krame
4. No kissing baby --- patoranking ft sarkodie
5. Wololo --- babe wodumo ft mampintsha
6. Dance for mr --- eugy ft mr. Eazi
7. Ngudu --- kwesta ft cassper nyovest
8. Koffi anan --- yemi alade
9. Soweto baby ----- dj mophorisa ft wizkid
10. Uncondionational bae --- sauti sol ft alikiba