Gazeti ya Guardian la UK latoa nyimbo kumi bora za Africa mwaka 2016, mtanzania ashika nafasi ya 2

Gazeti ya Guardian la UK latoa nyimbo kumi bora za Africa mwaka 2016, mtanzania ashika nafasi ya 2

Uncondionational bae SIYO MTANZANIA HUYO EEH? Mitimu hii

Remember neno bae ni moja ya maneno yaliyotafutwa sana mtandaoni na watanzania, siyo wakenya, so you know the role of king kiba in this
nilikuwa natafuta comment yako
 
Uncondionational bae SIYO MTANZANIA HUYO EEH? Mitimu hii

Remember neno bae ni moja ya maneno yaliyotafutwa sana mtandaoni na watanzania, siyo wakenya, so you know the role of king kiba in this

Mkuu umebeba tope uko kichwani.
 
We msukule wa madale....Wimbo wa Unconditional bae ni Wimbo unaomilikiwa kwa pamoja Kati ya Ali na Sauti Sol..

Ni kama ilivyo kwa Make me sing ni ngoma ya pamoja Kati ya A.K.A na Dimond.

Hao walioweka hiyo list hawajui kitu na wewe unae-sapoti pia hujui kitu
Kwa heshima na taadhima naombs nikwambie si kweli..

Huo wimbo ameshirikishw sio wimbo wa pamoja!
Eidha haujui au unajipotosha makusudi..

Wimbo pekee wa pamoja aliotoa kiba this year ni kajiandae alioimba na dimpoz..
 
Kwa heshima na taadhima naombs nikwambie si kweli..

Huo wimbo ameshirikishw sio wimbo wa pamoja!
Eidha haujui au unajipotosha makusudi..

Wimbo pekee wa pamoja aliotoa kiba this year ni kajiandae alioimba na dimpoz..
Acha zako hizo wewe,mambo ya k/koo tuachie wa k/koo.

Unconditionally bae ni wimbo wa pamoja wa Sauti Sol na Ali Kiba.
Period [emoji6]
 
Hivi wimbo wa Salome ni wa Diamond au Rayvany?
Mbona mnamnyang'anya kijana wa watu wimbo wake jamani?

Halafu katika huu wimbo Chibu kapotezwa sana na Ray, nashauri asijaribu kushiriki wimbo mwingine tena na huyu kijana.
Boss kagaragazwa vibaya hadi aibu.
Babes, seriously?? [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Aisee watoto wa kariakoo wacha niwape tuzo ya heshima fitna zenu zimefikia kiwango cha "standard gauge"..
Khaaaaaa inamaana hamjui kuwa wimbo ni Diamond platnumz featuring Rayvany??? Au mnafanya kusudi tu..

Wacha basi niwadediketia kibwagizo hiki;

[emoji444] wenye wivu wajinyonge sanaaaa, wenye wivu wajinyongeeee,
Wenye wivu wajinyonge kweliiii, wenye wivu wajinyongeeee
Kariako wanakodoa kodooooo, wanakodoaaaa
Madale tukisongaaaa, wanakodoa kodooooo, wanakodoaaa [emoji445] [emoji444]

[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

# WCB # WinnersCycle
 
Acha zako hizo wewe,mambo ya k/koo tuachie wa k/koo.

Unconditionally bae ni wimbo wa pamoja wa Sauti Sol na Ali Kiba.
Period [emoji6]
Sasa mbona ukitizama video (achana na title ya YouTube) video yenyewe inavyoanza imeandikwa "Sauti Sol featuring Ali kiba" ????

Why?? Ni wimbo wa kashirikishwa bhana acheni kufosi [emoji23] [emoji23]
 
Kwa heshima na taadhima naombs nikwambie si kweli..

Huo wimbo ameshirikishw sio wimbo wa pamoja!
Eidha haujui au unajipotosha makusudi..

Wimbo pekee wa pamoja aliotoa kiba this year ni kajiandae alioimba na dimpoz..
Umesema hivi kwa sababu umeamua kusema au Umesema hivi kwa mujibu wao wenyewe?!

Nikuulize unajua kwanini Ali haku-post kitu chochote kwenye mitandao yake ya kijamii baada ya ule wimbo kutoka ni Sauti Sol Peke yao waliokuwa wanapiga promo kwenye mitandao we unajua kwanini ilikuwa vile?!

Punguza chuki mkuu azikupi faida yoyote
 
Wimbo uñe ni wa sauti sol ndio mana hata gazeti limesema wimbo wa bongofleva ni mmoja tu salome
 
Hebu angalia huu mkanganyiko
halafu nipe jibu

83274622e0545f1748efa9c2b732d384.jpg
Wakenya ni wajanja wajanja kama Team Madale kila kitu kizuri wataka kiwe Chao.

Soma hapa.

Sauti Sol (Kenya) and Alikiba (Tanzania) release UNCONDITIONALLY BAE,a danceable love ballad.In the song,Sauti Sol and Alikiba sing about the difficulty of finding love in the modern day world.The music video is poised to unite fans across East Africa and Africa at large,through dance and its strong message. [HASHTAG]#SautiSolAlikiba[/HASHTAG]
[HASHTAG]#UnconditionallyBae[/HASHTAG]
Shot in Kenya’s beautiful North Coast of Mombasa at the English Point Marina,the official video of UNCONDITIONALLY BAE has been shot by the super talented South African video director Justin Campos of
Gorilla Films.
Written by Sauti Sol and Alikiba
Produced by Sauti Sol
Styling: Benie Amandine (Casa Dalhia)

Hayo ni maelezo ya hiyo ngoma kule YouTube.
So akili kumkichwa.
 
Holl up ya Mr eazi imestahili sana top 3 mwaka huu.
-Hongera sana Diamond platnumz
 
Umesema hivi kwa sababu umeamua kusema au Umesema hivi kwa mujibu wao wenyewe?!

Nikuulize unajua kwanini Ali haku-post kitu chochote kwenye mitandao yake ya kijamii baada ya ule wimbo kutoka ni Sauti Sol Peke yao waliokuwa wanapiga promo kwenye mitandao we unajua kwanini ilikuwa vile?!

Punguza chuki mkuu azikupi faida yoyote
Mkuu mimi ninachojua ukiiangalia video mwanzoni kabisa maandishi ya kutambulisha nyimbo yanasema "Sauti Sol featuring Ali Kiba..

Hayo mambo ya kupost na kutopost wanajuana wenyewe! Ila ninachojua Kiba alipost na mpaka link ya YouTube aliweka pale juu kwenye Bio yake ya Instagram..

Ninachojua video kabla haijatoka inaridhiwa kwanza na menejiment zote mbili, kama marekebisho yanafanyika kabka video haijatoka.. So kama management ya Ali kiba iliridhia hivyo na wajaupromote wimbo that means ukweli ndio huo, ameshirikishwa..

Hata ukipigwa kwenye TV yeyote inaandikwaga hivyo kama ilivgoandikwa ndani kwenye video... Sauti Sol Featuring Ali kiba

Hiyo sio chuki, that is a fact mkuu..
 
Umejitahidi kujenga hoja ya maana,lakini sasa ukitaka KUDHIBITISHA KUWA HUO WIMBO UNA MKANGANYIKO ANGALIA HATA MWANZO WA HIYO VIDEO IMEANDIKWA "Sauti sol feat Alikiba" (na hata hapo ukiangalia kwa mbali unaona hayo maandishi) Kwahiyo musiwaone wabongo wajinga kwa kuuita ni wimbo wa wakenya kwavile una mkanganyiko sana,kwingine feat na kwingine ni colabo.

Hebu angalia huu mkanganyiko
halafu nipe jibu

83274622e0545f1748efa9c2b732d384.jpg
Wakuu nimepitia maelezo ya kwenye hiyo video vizuri na nilicho elewa huwo wimbo ni wa pamoja aliye chukuwa hiyo video ndio kachanganya kwenye kuingiza hayo maneno pitieni maelezo vizuri hapo chini[emoji116]
4bd8aab8b4bf5d7fdf4299cf96a6febe.jpg
 
Gazeti ya the guardian la uingereza litemtoa nyimbo kali za mwaka 2016 zilizotikisa africa.
Katika orodha hiyo tanzania imebahatika kuingia nyimbo 1 tena ikishika nafasi ya 2,
Diamond platnumz kupitia wimbo wake wa salome amefanikiwa kushika nafasi ya 2 huku, nafasi ya kwanza ikienda nigeria kwa kuchukuliwa na msanii Tekno na wimbo wake wa Pana
View attachment 449206
Orodha kamili
1. Pana -- tekno
2. Salome -- diamond ft rayvany
3. Hollup -- mr eazi ft joey B and danny krame
4. No kissing baby --- patoranking ft sarkodie
5. Wololo --- babe wodumo ft mampintsha
6. Dance for mr --- eugy ft mr. Eazi
7. Ngudu --- kwesta ft cassper nyovest
8. Koffi anan --- yemi alade
9. Soweto baby ----- dj mophorisa ft wizkid
10. Uncondionational bae --- sauti sol ft alikiba
Simbaaa wAtu weeeweeee
 
Back
Top Bottom