GDP ya Tanzania ni Dolla Billioni 86 tuendelee kuongeza bidii ya kufanya kazi

GDP ya Tanzania ni Dolla Billioni 86 tuendelee kuongeza bidii ya kufanya kazi

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
VORO_African-Countries_GDP_1200PX.jpg
 
Nikifikiria hii mifumo PEPMIS, NeST MUSE. aisee kama nchi bado tunasafari ndefu sana.

1. Watumishi wanatumia muda mwingi kuingiza kwenye mfumo taarifa zao za utendaji kazi badala ya kufanya kazi

2. Mfumo wa manunuzi ya tender hauko compatible, watumishi wa manunuzi wanalalamika mfumo kuwa mzito na hivyo shughuli za manunuzi zinaenda taratibu sana (ujenzi, ununuzi wa bidhaa na matengenezo)

3. Mfumo wa ulipaji wa fedha nao ni majanga matupu, malipo yanachelewa.

Kwakweli, serikali isipo angalia, hiyo mifumo inaturudisha nyuma kwa kasi.
 
Nikifikiria hii mifumo PEPMIS, NeST MUSE. aisee kama nchi bado tunasafari ndefu sana.

1. Watumishi wanatumia muda mwingi kuingiza kwenye mfumo taarifa zao za utendaji kazi badala ya kufanya kazi

2. Mfumo wa manunuzi ya tender hauko compatible, watumishi wa manunuzi wanalalamika mfumo kuwa mzito na hivyo shughuli za manunuzi zinaenda taratibu sana (ujenzi, ununuzi wa bidhaa na matengenezo)

3. Mfumo wa ulipaji wa fedha nao ni majanga matupu, malipo yanachelewa.

Kwakweli, serikali isipo angalia, hiyo mifumo inaturudisha nyuma kwa kasi.
Serikali imejaa viongozi majangili tupu
 
wakubwa wote wapo kwenye biashara ya kuagiza vitenge, sukari, nguo nk. mtapata wapi pesa.
 
Back
Top Bottom