GDP ya Tanzania ni Dolla Billioni 86 tuendelee kuongeza bidii ya kufanya kazi

GDP ya Tanzania ni Dolla Billioni 86 tuendelee kuongeza bidii ya kufanya kazi

Yaani Jeff Bezzos ana hela almost 3x ya GDP ya bongo. Kweli this world is not fair.
GDP ni wastani wa thamani ya uzalishaji wa taifa Kwa mwaka, Mr Bezos' net worth ni thamani ya biashara na asset zake minus liabilities Kwa ujumla, hii haimaanishi kwamba kila mwaka Bezos anatengeneza dollar Bilioni 200 hapana. Unaweza kuwa billionaire lakini ukazalisha hasara tupu ndani ya mwaka au ukatengeneza a few millions. Ila on average billionaire kama yeye anaweza cheza kwenye 100s of millions kama faida, which is a far cry from the GDP generated by Tanzania which is in billions. Inabidi uwe trilionaire ili kuweza kumake 80 billion dollars Kwa mwaka mzee.
 
GDP ni wastani wa thamani ya uzalishaji wa taifa Kwa mwaka, Mr Bezos' net worth ni thamani ya biashara na asset zake minus liabilities Kwa ujumla, hii haimaanishi kwamba kila mwaka Bezos anatengeneza dollar Bilioni 200 hapana. Unaweza kuwa billionaire lakini ukazalisha hasara tupu ndani ya mwaka au ukatengeneza a few millions. Ila on average billionaire kama yeye anaweza cheza kwenye 100s of millions kama faida, which is a far cry from the GDP generated by Tanzania which is in billions. Inabidi uwe trilionaire ili kuweza kumake 80 billion dollars Kwa mwaka mzee.
Kwa uelewa wako huu mkuu, naomba unipige shule kidogo; hiyo GDP ndio nini haswa?
  • Ile ya TRA ya kila mwezi ni nini?
  • Ile wanayotangaza akina Madelu kila June-July ni nini?
  • Usd 86b si ni zaidi ya trilioni 200? Hiyo GDP ni kwa mwaka au tangu tupate uhuru?

GDP inahusiana na nini haswa?

Trilioni 32 si ndo makadirio ya bajeti yetu, hiyo GDP ya trilioni 200 inatokea wapi tena?

Asante
 
Back
Top Bottom