Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
[emoji3][emoji3]Kabla ya Taifa kumpata mfalme Yezabeli hatukuwahi kuwa na mauaji makubwa kiasi hiki.
Mfalme Yezabeli[emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2109141
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]Kabla ya Taifa kumpata mfalme Yezabeli hatukuwahi kuwa na mauaji makubwa kiasi hiki.
Mfalme Yezabeli[emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2109141
Hangaya ndio alimpa marehemu hiyo kamba au?Taifa linapitia katika mateso makali ya laana baada ya kumpata mfalme Yezabeli a.k.a mfalme Hangaya.
Afadhali kusikia uhalisia kuliko kufichwa taarifaHuna uwezo wala akili ya kuelewa nilichoandika hapo kwa sababu mfululizo wa mauaji yanayoendelea hapa nchini hata huyasikii kwa sababu unayapaka mafuta kwa kutumia mgongo wa mfalme Yezabeli.
Marehemu aende panapostahiliKATIKA hali isitokuwa ya kawaida, mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Naomi mkazi wa Mji mdogo wa Katoro Wilayani Geita amekutwa amejinyonga kwa kutumia kamba ya manila ndani ya choo cha nyumba ya kulala wageni inayojulikana kwa jina la Mwananzoka inayomilikiwa na mumewe Siki Mwananzoka.
-----
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Naomi mkazi wa mji mdogo Katoro wilayani Geita mkoani hapa amekutwa amejinyonga kwa kamba ya manila ndani ya choo cha nyumba ya kulala wageni inayomilikiwa na mumewe.
Kamanda wa polisi mkoani hapa, Henry Mwaibambe amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema polisi wanaendelea na uchunguzi wa kifo hicho.
Tukio hilo limetokea Februari 3, 2022 saa 12 jioni baada ya mwanamke huyo kufika kwenye nyumba ya wageni na kumtaka mmoja wa wahudumu amsaidie mtoto mwenye umri wa miezi minne kwa kuwa yeye anajisikia vibaya.
Akizungumzia tukio hilo, mhudumu wa nyumba hiyo aliyejitambulisha kwa jina la Monica Paul amesema, mke wa mwajiri wake alifika kwenye eneo hilo saa 8 mchana na kumtaka amsaidie mtoto ili yeye apumzikekwa kuwa hayuko vizuri kiafya.
Amesema baada ya hapo alipewa chumba, lakini baadaye walikuta mwili ukining’inia juu chooni, baada ya mteja mwingine kuomba huduma ya choo alichojinyongea mwanamke huyo.
Kiongozi wa eneo hilo, Stephano Bandola amesema hawajajua chanzo cha mwanamke huyo kujinyonga lakini akadai inaweza kuwa mgogoro wa kifamilia.
Juhudi za kumpata mume wa mwanamke huyo hazikufanikiwa baada ya kuelezwa yuko safarini nje ya Katoro.
MWANANCHI