Geita: Amchoma Mtoto kisu tumboni na kisha kujiua baada ya kugundua ana UKIMWI ila Mkewe hana

Hivi mbona haiingii akilini aisee huyo taahira kamuingizaje mtoto kwenye huo utopolo wake ?

Aiseee napendekeza serikali ianzishe program ya kupima watu wote magonjwa ya akili maana kwa Hilo tukio sidhani Kama linaingia akilini yani haaaaaaaaa khaaakhaaaaa

Mshenzi kweli huyo jamaa
Aaaaghhhhh lishaniharibia mood Hilo jamaa hivi watu wa hio kanda mnamatatizo gani lakini?
😥😥😥😥
 
Na pengine yeye huyo marehemu ndy chanzo cha kulazimisha kupima.

Eboo!!
 
Huyo jamaa bora alivyokufa tu maana mawazo yake ni ya kijinga. Damu ya mwanaume mwenzio/huyo mtoto unaidhulumu vipi kwa ukimwi aliojitakia mwenyewe.
 
Wasukuma tabia hii wameanza leo.
 
Inawezekana mkewe huyo hakumpa faraja baada ya hayo majibu,si unajua tena wake zetu hawa.

Inawezekana alimshushua ,ukome na umalaya wako mwaka huu utajibeba kwa raha zako.
Labda..yawezekana..
 
huyo alikuwa kashiba daku tu na si lingine
Imagine ukute alichanganya majina akatoa false
 
Labda..yawezekana..
Nahisi hivyo mkuu,kuna wakati niliingia biashara Fulani nikapigwa na wajanja kama m hvi,dah nikamshirikisha wife ila dah nilijawa na uchungu ila sikupata faraja nikaonekana nimekula na malaya.
 
Inawezekana mkewe huyo hakumpa faraja baada ya hayo majibu,si unajua tena wake zetu hawa.

Inawezekana alimshushua ,ukome na umalaya wako mwaka huu utajibeba kwa raha zako.
Wala asisingiziwe mkewe
 
Nahisi hivyo mkuu,kuna wakati niliingia biashara Fulani nikapigwa na wajanja kama m hvi,dah nikamshirikisha wife ila dah nilijawa na uchungu ila sikupata faraja nikaonekana nimekula na malaya.
Kama anakujua ni mwingi wa kuchepuka kukuamini ni ngumu sana.
 
Nahisi hivyo mkuu,kuna wakati niliingia biashara Fulani nikapigwa na wajanja kama m hvi,dah nikamshirikisha wife ila dah nilijawa na uchungu ila sikupata faraja nikaonekana nimekula na malaya.
Pole sana..lakini kusije kukawa kuna kahistoria fulani way back...yaani aanze tu kukurushia maneno ya kimo hicho? Au saa nyingine mnakosea padogo tu kwa kumshirikisha tayari mambo yakiwa yashakorogeka. Information angekuwa nayo hatua kwa hatua labda asingeyatamka hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…