GEITA: Amteka mpenzi wake akitaka arudishiwe hela alizohonga, amuua

Kwani hizo pesa alikuwa anamuhonga bure?!

Mapenzi aliyokuwa akipewa mpaka akatoa hizo pesa anajifanya hakumbuki?!

Mpuuzi sana...

Unamdai mtu ulichompa kwa kukolewa na penzi?!

Mpaka hapo huyo jamaa keshaonesha udhaifu aliokuwa nao..
 
Kwani hizo pesa alikuwa anamuhonga bure?!

Mapenzi aliyokuwa akipewa mpaka akatoa hizo pesa anajifanya hakumbuki?!

Mpuuzi sana...

Unamdai mtu ulichompa kwa kukolewa na penzi?!

Mpaka hapo huyo jamaa keshaonesha udhaifu aliokuwa nao..
 
Hapa Rapcha ajifunze kitu
 
To every action there's an equal and opposite reaction. Ndio maana mm huwa sihudumii kabla sijaoa. Upo kwa wazazi wako waliokuzaa hawawezi kushindwa kukuhudumia kama hutaki sepaaaaaaaaa, kwendraaaaaaaaaaa. Zaidi utapewa zawadi tu ya kijihela kidogo cha kukusukuma.
 
Siku yakikukuta ndio utajua.
 
Lakini Wazazi wa binti,mnapigiwa simu kuwa binti yenu anadaiwa kutumia fedha za "mwanaume asiyempenda" mnakaa kimya(yaani mnapotezea tu wakati hali ya utafutaji ni ngumu)...
Jamaa kumbe alikuwa mstaarabu namna hii mpaka kufuata wazazi wa binti!
 
Kuna jamaa wa eneo hilo nimemcheki
Anasema mwamba alikua anadai Tsh 45,000 na simu ndogo ya tecno aliyomnunulia manzi

Jamaa mishe zake ni kuchoma mahindi ya miamia
Dah kmmmk walai πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tuwe waaminifu wajameni, wengi naona wanamshambulia jamaa kwa maamuzi yake na kufurahia adhabu atayopewa lakini hatugusii huyu aliupoteza uhai wake walau hata hiyo jela jamaa anaendelea kuishi...
Waambie hawa tena wanavyojua kuangusha bill sasa, nywele, kodi, shopping ya nguo, simu hapo yote hayo malipo ni bao moja tena bila ushirikiano!
 
Mshamba mmoja. Kumla amemla sana na kumuua juu.Pole kwa mama aliyezaa kwa utungu na uchungu.Wanakheri wasiopenda mahusiano na kuamua kuishi kivyao kufa kivyao pia.AMINA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…