johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwisho wa siku wazazi wanaipigia kura CCM kutokana na ushauri wa watoto wao!Wazazi wao wanaenda kwenye mikutano ya Chadema na hawa watoto mnawapata kwa kuwakokota shule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho wa siku wazazi wanaipigia kura CCM kutokana na ushauri wa watoto wao!Wazazi wao wanaenda kwenye mikutano ya Chadema na hawa watoto mnawapata kwa kuwakokota shule.
Wamechoka kulea hao boomerang kidsMwisho wa siku wazazi wanaipigia kura CCM kutokana na ushauri wa watoto wao!
Aisee!Na huko wanafunzi wameahirishiwa masomo? Mwanza kulikuwa na mafuriko ya wanafunzi uwanja wa Furahisha. Wahudhuriaji wa mkutano, zaidi ya 60% walikuwa watoto (wanafunzi).
Sent using Jamii Forums mobile app
Unashangilia shida sababu unaishi kwa shemeji yakoHahahaaaa....... Siku ya kufunga kampeni tutawakodi Sugu na huyo Wa mitulinga!
Mbona wewe unaishi kwa dada yako?!Unashangilia shida sababu unaishi kwa shemeji yako
Siishi kwa dada ndiyo maana nachukia shida, wewe kula kulala anayepata maumivu ni dada akoMbona wewe unaishi kwa dada yako?!
Tatizo liko wapi bwashee!
Ungechukia shida usingeishi hapo kwa dada yako Joyce!Siishi kwa dada ndiyo maana nachukia shida, wewe kula kulala anayepata maumivu ni dada ako
Hoji kwanza CCM wakusomee mapato na matumizi, ruzuku kwa mwenzi 2B, viwanja vya michezo kwa mwenzi 1B, michango ya wanachama na marafiki 1B plus maeneo ya biashara(vitaga uchumi) 2B = 6B kwa mwezi x 12 = 72 x 6 432B kwa miaka 5, tuanzie hapa wewe kilazaUngechukia shida usingeishi hapo kwa dada yako Joyce!
Nyie ndio mnafilisi ruzuku ya Ufipa kulisha michepuko na wewe umo humohumo!
Hakika hakuna kulala.
Unaweza kudhani ni mapema sana lakini CCM haina mapema hapa Kalangalala Geita uwanja umefurika na viongozi wote wako jukwaani...
Mwakani Chadema haina ruzuku itabidi umsaidie dada kuuza hizo sweta za Chadema maana hata kule kwa shemeji Ole sabaya kakaza kamba!Hoji kwanza CCM wakusomee mapato na matumizi, ruzuku kwa mwenzi 2B, viwanja vya michezo kwa mwenzi 1B, michango ya wanachama na marafiki 1B plus maeneo ya biashara(vitaga uchumi) 2B = 6B kwa mwezi x 12 = 72 x 6 432B kwa miaka 5, tuanzie hapa wewe kilaza
Hahahaaaa. Ni Yeye anafanya mkutano mmoja tu kwa wiki!SASA BASI
#NIYEYE
Hahahaaaa..... Hoja ya ruzuku CCM?Jibu hoja we mpuuzi
Mmh! Kwahiyo ruksa kisukuma kutumika kwenye hadhara?Kisukuma ni lugha ya kanda ya ziwa kama ilivyokuwa kiswahili ni lugha ya kanda ya Pwani.
Kisukuma siyo lugha ya kabila......kikabila ni kama vile kimarangu, kirombo, kimachame, kinyantunzu, kizaramo, kingindo, kindengereko nk....nk...bwashee!
Mmh! Kwahiyo ruksa kisukuma kutumika kwenye hadhara?Kisukuma ni lugha ya kanda ya ziwa kama ilivyokuwa kiswahili ni lugha ya kanda ya Pwani.
Kisukuma siyo lugha ya kabila......kikabila ni kama vile kimarangu, kirombo, kimachame, kinyantunzu, kizaramo, kingindo, kindengereko nk....nk...bwashee!
Chama "tawala" ambacho kinaelea juu akina tawi wala mizizi?Nawaza tu ikatokea meza ikapinduliwa na cdm ikawa chama tawala sijui sura za wanaotetea na kuunga mkono juhudi wataziweka wapi, tujifunze kuwa na akiba ya maneno wakuu.
Mmh! Kwahiyo ruksa kisukuma kutumika kwenye hadhara?Kisukuma ni lugha ya kanda ya ziwa kama ilivyokuwa kiswahili ni lugha ya kanda ya Pwani.
Kisukuma siyo lugha ya kabila......kikabila ni kama vile kimarangu, kirombo, kimachame, kinyantunzu, kizaramo, kingindo, kindengereko nk....nk...bwashee!
Mkuu Slowly ulichokiongea ni sahihi na ndio hali halisi iliyopo isipokuwa watabisha tu kwa sababu ni wabishiHakuna kitu kama hicho waliokwambia walikudanganya , Njia nzuri ya kupambana na adui cha Kwanza kubali uwezo wake alaf utafte udhaifu wake upitie hapo, CCM inatambua uwezo wa Chadema na inatambua udhaifu wao , na ndo mana Kwa miaka mitano wamepambana na Chadema kufa na kupona, miez hii miwili ya kampeni wanasuuuza tuu , mitambo yote imetegeshwa kuleta ushindi,..
Kwa tunaomuamini Yesu Kristo anasema; "Waacheni watoto waje kwangu kwa maana Ufalme wa Mbingu ni wao". CCM ni nani kuwakataa watoto?Na huko wanafunzi wameahirishiwa masomo? Mwanza kulikuwa na mafuriko ya wanafunzi uwanja wa Furahisha. Wahudhuriaji wa mkutano, zaidi ya 60% walikuwa watoto (wanafunzi).