Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #41
Chambua mpira, acha mipasho faza [emoji23]Sema Geita wanafanya makosa mengi sana, sijui ndio miamala
Subiri Zamu Yako Inakaribia Kama Mti Mkavu Unafanyiwa Hivi Subirini NyinyiSema Geita wanafanya makosa mengi sana, sijui ndio miamala
Mechi ilishauzwa hii.Sema Geita wanafanya makosa mengi sana, sijui ndio miamala
[emoji1787][emoji1787]Yondani kama alikuwa anashangilia
Jangwani watakukasirikia kwa maneno yako ya miamala..Wewe sema Geita wanaupiga mwingi mno..!Sema Geita wanafanya makosa mengi sana, sijui ndio miamala
Hata Yanga wanafanya makosa mengiSema Geita wanafanya makosa mengi sana, sijui ndio miamala