SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Akicheza na Simba utamwelewa usijali.Yondani simuelewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akicheza na Simba utamwelewa usijali.Yondani simuelewi
Kwanini Nyosso na Adeyum hawajapangwa leo?
Pole ndugu yangu. Spare your feelings. Geita hatoboi hii game.Wamekoswa hawa mambwiga
Kazi ya bahasha iyo mzeeYondani simuelewi
Sawa siwezi bishaPole ndugu yangu. Spare your feelings. Geita hatoboi hii game.
[emoji1787][emoji1787], acha uongo.Yondani kama alikuwa anashangilia
Wachezaji wa Geita walikosa tu utulivu baada ya yanga kuanza mpira kwa kasi na kuwa press kwa kasi..Ukiangalia kwa Jicho la mwewe Sio siri hawa mabeki wa Geita Gold ni kama vile wameuza mechi
Ripota punguza unazi bana 😂😂😂😂Kipa wa Geita anajaribu kumtemea mpira Mayele
Kwa Nini amtemee si aache uingie tu maana chochote hamkosi la kusema.Kipa wa Geita anajaribu kumtemea mpira Mayele
Mwaka huu watasema hata Moo Yanga wamemnunua yaani hawajiamini kabisa.Popoma Genta amesema wamenunuliwa hivyo wasicheze
Yondani huyu huyu ndiye aliyeokoa mpira kwa kichwa na kuwa kona. Bila kufanya hivyo ilikuwa inahesabiwa goli la poli maana alikuwa ndiye mtu mwishoYondani simuelewi