Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Refa anaonekana mchezoni kumzidi mayeleYaani kama umewasha TV unaweza ukasema Mayele hayupo uwanjani...haonekani sana ila akionekana tu...basi ndo yale mambo ya kutetema ujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Refa anaonekana mchezoni kumzidi mayeleYaani kama umewasha TV unaweza ukasema Mayele hayupo uwanjani...haonekani sana ila akionekana tu...basi ndo yale mambo ya kutetema ujue
Hao Jamaa Wamechanganyikiwa Kama Wafa Maji Hawakosi Kutapatapa.Si Mmesema Sisi Tumenunua Mechi Vp Mechi Imekuwa Ngumu Kwetu
Mwenzenu yupo kwenye presha ana muwaza mayele kuchukua nafasi yakeGeorge Mpole ana papara sana
Absolutely true.. Geita ni moja ya timu tamu kuiangalia ikicheza.Geita wapo vizuri shida ni tension Kubwa.
Mwalimu pia amepanick
Geita wakipata mwalimu mzuri wanaweza kuwa Rivals wa The top three
bahasha wamepewaYanga wameanza kujichanganya
Unaweza kudhani George Mpole muamala unahusika
Kakosa magoli ya wazi
Hakuna kujichanganya hapo hesabu tayari
Geita wamepata chances nyingi kuliko YangaKiukweli Yanga ndio wamepewa bahasha leo. Sio kwa kucheza chini ya kiwango kiasi hiki
Wanaongoza 1mkuu...HTKira la kheri Geita Gold FC
Funga hao Yanga FC goli 1 kwa 0
Ni average player,na geita wakitumia upande wake watatuletea madharaBoxer hastahili kuchezea yanga
Msimu ujao mumsajili bikiniBoxer hastahili kuchezea yanga