Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Watu kama hawa hawatufai wanajaza nafasi tu..mwakani tunahitaji mtu kama kibabage kule kushoto kubalance timuNi average player,na geita wakitumia upande wake watatuletea madhara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu kama hawa hawatufai wanajaza nafasi tu..mwakani tunahitaji mtu kama kibabage kule kushoto kubalance timuNi average player,na geita wakitumia upande wake watatuletea madhara
Nilisema wapi kuwa Yanga imenunua mechi?Si Mmesema Sisi Tumenunua Mechi Vp Mechi Imekuwa Ngumu Kwetu
Na huo ndio ukweli. Walichofanya yanga ni kuanza mpira kwa kasi na kuwa press Geita jambo ambalo limewafanya Geita kuvulugwa na kupata goli la mapema. Hakuna cha muamala wala nini hii game Geuta wakiongeza umakini wanasawazusha goliGeita wapo vizuri shida ni tension Kubwa.
Mwalimu pia amepanick
Geita wakipata mwalimu mzuri wanaweza kuwa Rivals wa The top three
Sure,yule dogo yupo vizuri na anamisingi bora ya futiboWatu kama hawa hawatufai wanajaza nafasi tu..mwakani tunahitaji mtu kama kibabage kule kushoto kubalance timu
Uwanja upi kimataifa mlipigwa nje ndani ilo timu bovu endeleeni na hako kautaratibu kenu mtaishia hapahapa bongoHuwa hamuwatendei kabisa haki mashabiki wenzenu weye akili timamu, na wanao amini mpira unachezwa uwanjani. Kuna wakati muwe mnajisikia hata aibu basi.
Ongeza na hii Yanga ikishinda giesiemu wamenunuaTimu ikifungwa na Yanga, inaonekana Yanga ipo vizuri. Lakini timu hiyo hiyo ikija kufungwa na Simba inaonekana ni vibonde( wepesi)
Mpira hauchezwi uwanjani peke yakeHuwa hamuwatendei kabisa haki mashabiki wenzenu weye akili timamu, na wanao amini mpira unachezwa uwanjani. Kuna wakati muwe mnajisikia hata aibu basi.
Mechi ipi hiyo unaangalia?Kuna beki wa Yanga kanawa ndani ya box ila mwamuzi kajifanya kama hajaona
Mmegeuka tena? SI mmesema tumewanunua hawa jamaniYanga wanaomba mechi iishe
Ila ile ni kadi nyekundu bila shakaAngetoa hiyo straight red card, kuna mbwa wangebweka kweli kweli!