Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #141
60' bado Yanga anaongoza kwa goli moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira hauchezwi uwanjani peke yake
Waukize mashabiki wa Geita 😂😂😂😂
Punguza munkari mkuu
Hizi ndio raha za ushabiki
Ili kumpisha Mauya acheze hapoBangal amerudi kucheza kama beki wa kati
Huu ubingwa kama mkichukua muende kushangilia Afghanistan.Mnazingua bhana! Mpira ni mchezo wa wazi! Unaona kabisa wachezaji wa Geita wanavyo pambana! Lakini mwisho wa siku mnakuja kutoa shutuma za uongo!
Hili jambo halikubaliki hata kidogo.
Hako ka mchezo ni kweli walikuwa nacho ila baada ya yule binti wa Simba kufanya yake na kuvutwa waya kutokea Cameron naona GSM hata kuidhamini Yanga ni suala la muda tu, muda wowote linaweza tokea lolote. Kwa sababu aliwa ahid ubingwa kwanana yoyote ile ngoja atimize ahadi yake. Kauli tata nyingi zimetokewa na Engineer wenu inathibitisha walikuwa wananunuaOngeza na hii Yanga ikishinda giesiemu wamenunua
Acha roho mbaya🤣🤣Hawa mabeki wa Geita si wamtengue Mayele tupumue huku mtaani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].. kwaio aendelee kutetema sioAcha roho mbaya[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa unafurahisha kweli. Hao ulowataja hata Mayele akikaa hospitali msimu huu uishe, hawatamfikia kwa magoliKagere na Mugalu muda wenu huu sasa waku shine