Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wananchi na wao wafurahi....miaka minne Mingi.😀[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].. kwaio aendelee kutetema sio
Nyuma mwikoYanga daima
Wapi Papaa John Raphael Boco? Wapi Kibu Denis mutu ya Congo , Mayele kaumia huko mwanza.. Muda wenu huu wa kushine
Ndio vizuriIdadi ya majeruhi kwa Yanga inazidi kiwa kubwa
Mjinga sana huyu,akikaa bench asilalamikeAmbundo kama amevuta leo
Na Ile ya Zungu kuwa wanatoa 1m Kwa marefa imeishia wapi? Au wazee wa Yanga walimshtua sana kuona ataabishwaHako ka mchezo ni kweli walikuwa nacho ila baada ya yule binti wa Simba kufanya yake na kuvutwa waya kutokea Cameron naona GSM hata kuidhamini Yanga ni suala la muda tu, muda wowote linaweza tokea lolote. Kwa sababu aliwa ahid ubingwa kwanana yoyote ile ngoja atimize ahadi yake. Kauli tata nyingi zimetokewa na Engineer wenu inathibitisha walikuwa wananunua