Geita Gold Fc 0-1 Yanga Sc | NBC PL | CCM Kirumba

Geita Gold Fc 0-1 Yanga Sc | NBC PL | CCM Kirumba

Wapi Papaa John Raphael Boco? Wapi Kibu Denis mutu ya Congo , Mayele kaumia huko mwanza.. Muda wenu huu wa kushine
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji846][emoji846]..
Huyu George Mpole ndio amechukua ela za Yanga bila Shaka yoyote
 
Hako ka mchezo ni kweli walikuwa nacho ila baada ya yule binti wa Simba kufanya yake na kuvutwa waya kutokea Cameron naona GSM hata kuidhamini Yanga ni suala la muda tu, muda wowote linaweza tokea lolote. Kwa sababu aliwa ahid ubingwa kwanana yoyote ile ngoja atimize ahadi yake. Kauli tata nyingi zimetokewa na Engineer wenu inathibitisha walikuwa wananunua
Na Ile ya Zungu kuwa wanatoa 1m Kwa marefa imeishia wapi? Au wazee wa Yanga walimshtua sana kuona ataabishwa
 
Back
Top Bottom