Geita Gold Fc 0-1 Yanga Sc | NBC PL | CCM Kirumba

Geita Gold Fc 0-1 Yanga Sc | NBC PL | CCM Kirumba

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji846][emoji846]..
Huyu George Mpole ndio amechukua ela za Yanga bila Shaka yoyote
Itakuwa imepitia Kwa Zungu
 
Na Ile ya Zungu kuwa wanatoa 1m Kwa marefa imeishia wapi? Au wazee wa Yanga walimshtua sana kuona ataabishwa
Naweza nikasema hilo ni la ukweli kwa kurejea refa aliyechezesha mechi kati ya Namungo na Yanga akiwazawadia ile penati ili ku balance shobo
 
Eric Yema wa Geita amepata majeraha kiasi cha kupakiwa kwenye ambulance kuelekea hospitali...ugua pole mwamba
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]... kama kawaida nimewaambia
 
Back
Top Bottom