Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Anapambana atamwambia nn ZunguHalafu ndiyo mwamuzi bora huyu eti kwa misimu miwili mfululizo! 🤔
Yaani mchezaji ameanguka mwenyewe, yeye anapiga filimbi ya faulo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapambana atamwambia nn ZunguHalafu ndiyo mwamuzi bora huyu eti kwa misimu miwili mfululizo! 🤔
Yaani mchezaji ameanguka mwenyewe, yeye anapiga filimbi ya faulo!
Shida ya utopoloKauli za kukata tamaa
Uko na nani we raia sikuelewi, mnanunua ubingwa kiboya sana.Leo tupo wote we zezeta
Hivyo vizee ? Labda wawe shoe shineKagere na Mugalu muda wenu huu sasa waku shine
Mtatanguliza rupia na hiyoHawa Yanga ndio wanaelekea ivo kukata moto.. kama timu ndogo kama Geita wametepeta hivi, je wakikutana na Mbeya city itakuwaje
Angalia na majeruhi waliyonayo.Hawa Yanga ndio wanaelekea ivo kukata moto.. kama timu ndogo kama Geita wametepeta hivi, je wakikutana na Mbeya city itakuwaje
Umekata tamaa mechi ya 17 tu mzee? We kweli ni zezetaUko na nani we raia sikuelewi, mnanunua ubingwa kiboya sana.
Alitaka kuleta furaha msimbazi...... maana yupo Kwa mkopoDuchu anapiga vizuri lakini mpira unaishia kwenye mikono ya Diarra
Hivi Makambovic kagusa kweli mpira?
Angeachiwa Zile Za Mpole Jamaa Angepiga Vyema ZaidiDuchu anapiga vizuri lakini mpira unaishia kwenye mikono ya Diarra