Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
SI unaona Mikia wamenunaNgapi Huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SI unaona Mikia wamenunaNgapi Huko
Uyo jamaa ana presha ya kutaka ufungaji bora kitu ambacho kinamfanya mechi ya leo avurugeMnamsikia huyu jamaa anayejiita George Mpole anachokizungumza lakini? Ni bahasha tu imetembea kwake
HaaSI unaona Mikia wamenuna
Lazima awataje maana aliwapiga kimoja Cha NguruweMbeya City ipi? Ile ambayo wachezaji wake walishangilia kupata sare baada ya dk 90 kuisha pale kwa Mkapa, au?
Hadi ya kwenu pia tutatanguliza kama ile ya Ngao.Mtatanguliza rupia na hiyo
Tayari kauli za kukata tamaa hiziHuu ubingwa kama mkichukua muende kushangilia Afghanistan.
Mimi nimemsikia ila kusikia kauli yoyote iliyoasjiria kuwa kapewa bahashaMnamsikia huyu jamaa anayejiita George Mpole anachokizungumza lakini? Ni bahasha tu imetembea kwake
Kagere yule aliepiga penalty jana?Kagere na Mugalu muda wenu huu sasa waku shine
Naona kauli za kukata moto zimerudi tena kama raundi ya kwanza mliongea weee habari za kukata moto lakini mpaka sasa timu inayokata moto ndio inayoongoza ligiHawa Yanga ndio wanaelekea ivo kukata moto.. kama timu ndogo kama Geita wametepeta hivi, je wakikutana na Mbeya city itakuwaje
Hapana mkuu.. namzungumzia kagere huyu straika anayetisha kuzifumua timu za bongoland kutoka nchi ya rwandaKagere yule aliepiga penalty jana?
Kuongoza ligi sio kuchukua ubingwa mzee.Naona kauli za kukata moto zimerudi tena kama raundi ya kwanza mliongea weee habari za kukata moto lakini mpaka sasa timu inayokata moto ndio inayoongoza ligi
Haya Kila la kheri wananchiMwaka wa Yanga huu wanastahili hata wasipocheza vizuri wanapata matokeo hata wanapowakosa wachezaji muhimu wanapata matokeo ndivyo timu zinavyochukuwa ubingwa hivyo hizi story zengine tumezizoea kwenye soma letu.
Haihitaji uwe mwananchi kuliona hili hata Simba alipokuwa kwenye ubora sote tulikuwa tunaona kabisa kuwa Simba anachukuwa Ubingwa kweupe basi tu ubishi wa hapa na pale haukosekani.Haya Kila la kheri wananchi
Yule Aliyepiga Penalty Ya Kichovu [emoji23]Hapana mkuu.. namzungumzia kagere huyu straika anayetisha kuzifumua timu za bongoland kutoka nchi ya rwanda
Huyu kasha liwa aje mwingine....Bonge la gemu
Mpira umechezwa kiwango cha juu saana.
Kocha wa Yanga ambaye ni injinis Hersi kafanya kazi nzuri sana, Kocha msaidizi Nabi amshukuru kocha mkuu.
Na Haji Manara ambye ni msemaji/mhamasishaji/mkereketwa/ ceo kivuli,/mchapa kazi haswa anayelipwa fedhwa nyiingi kuliko Bumbuli, Msolwa, Mwakalebela na wengineo bila yeye Yanga ingekuwa nafasi ya tatu - sifa zooote kwa Gsm wenyewe.