Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #201
Unaishi Magu niniMpira umalizike wengine tunaishi mbali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaishi Magu niniMpira umalizike wengine tunaishi mbali.
Hapana,hawa mbumbumbu wa kkooSmall Simba ya Zanzibar
🤣🤣🤣KwimbaUnaishi Magu nini
Hamna mkuu huyu hayupo sawa kisaikilojia. Awaza yeye pekee ndio afunge ili afukuzane kwenye mbio za ufungaji bora[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]... kama kawaida nimewaambia
Zingekuwa hela sawa ila kama ni ela basi asilaumiweHuyu ndiye aliyechukua ela za hawa GSM. Geita wasitafute mchawi mwingine
Vipi mbona mmeanza kubadilika mapema c mlisema tumewanunua geitaUkweli usemwe, Geita Gold wanacheza vizuri zaidi kuliko Yanga, Yanga leo wanarukaruka tu
Leo tupo wote we zezetaHuu usanii mtupu utopolo mnatuharibia mpira, basi mwambieni huyo mjinga wenu angalau faulo zake amgongeshe mtu kwenye ukuta, sio anaipaisha tu kama zezeta.
Hela alipeleka Zungu kama kawaida yake anavyowapenyezea marefaHuu usanii mtupu utopolo mnatuharibia mpira, basi mwambieni huyo mjinga wenu angalau faulo zake amgongeshe mtu kwenye ukuta, sio anaipaisha tu kama zezeta.
Acha wananchi na wao wafurahi....miaka minne Mingi.[emoji3]
Mpole anamdanganya Kayoko hapa.....ni faulo