nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,806
- 5,347
Wasalaam,
Upendo Peneza najua unapita hapa au wasaidizi wako wanapita hapa, kuna Mbinu chafu kuzuia ushindi wako Kesho na haya yanafanywa na msimamizi wa uchaguzi Geita Mjini akushirikiana na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi.
Semina zilizofanyika Juzi na Jana wasimamizi wa vituo wamepewa maelekezo kuhakikisha kanyasu na magufuli wanashinda Kwa namna yeyote, wanakiri kabsa kuwa hali ni mbaya Kwa kanyasu na Kwa magufuli pia.
Mbinu watakazotumia
1. Maeneo ambayo hasa ndio ngome yako wameambiwa wahakikishe wanam-frustate wakala wako, akipaniq wataagiza polisi amuondoe Kwenye kituo halafu kitakachofuata kura za kimamluki zitapigwa Kwa Kanyasu na Magufuli
(Namna ya kushughulika na hili wakala atulie asipaniki hata kama atachokozwa)
2. Maeneo mengi ambayo kuna watu hawajui kusoma na kuandika mf. Kaseni, Bwihegule, Nyaseke, Gamashi,, Bumanji na vijiji vya ndani kabsa wataweka MTU wa CCM kuwasaidia kupiga kura Kwa Kanyasu na Magufuli, Sheria inasema MTU mmoja asaidie mtu mara moja lakini tumeelekezwa lazima MTU wa CCM ambaye amepangwa kuwasaidia wewe kama msimamizi wa kituo umtambue na umruhusu kufanya hivyo ili kuokoa chama.
3. Mawakala kukabidhi simu Kwa msimamizi wa kituo. Hii ni Mbinu Yao, hakuna Sheria inayolazimisha wakala kutokuwa na simu kwenye kituo, tulichoagizwa sisi wasimamizi wakala akigoma kukabidhi simu agiza polisi akamatwe na atiwe ndani asitoke,
(namna ya kushughulikia hili mawakala wako wasiingie Kwenye huu mtego watatolewa wote alafu kura zitaibiwa, watulie ni Bora wanyang'anywe simu ila wao wabaki Kwenye vituo kulinda kura)
4. Hizo zote juu zikikwama, matokeo yatabadilishwa Kwenye vituo vya kata Kwa msimamizi msaidizi
(namna ya kushughulikia hili hakikisha Una wakala anayejielewa Kwenye kila kituo cha kata Kwenye majumuisho ya kura, usiwaamini na kuwaachia madiwani pekee)
4. Hakikisha unaweka kituo chako cha kukusaidia kukusanya matokeo (nakala za matokeo za mbunge na rais pindi yanapobandikwa) hili unaweza kulifanya Kwa kanda, kanda ya kasamwa uwe na kituo na pia kanda ya Geita uwe na kituo ili kufikia SAA 2 usiku uwe na nakala zote za matokeo ya ubunge na urais, (nasisitiza nakala za matokeo vituoni uwe nazo wewe na uzitunze vizuri)
5. Vituo vilivyopo Kwenye shule za Nyankumbu girls, Geseco, kasamwa secondary kuwa navyo makini wanafunzi wenye Kadi za kupigia kura wanalazimishwa kumpigia kanyasu na magufuli Kwa nguvu, na wanaweza hata kutumia wanafunzi wasiona Kadi kupiga kura za maruhani
Baada ya hapo unaweza kujumlisha matokeo yako ukiwa umeshinda anzeni kusheherekea ushindi ukimsubiri ndugu apolinary akutangaze, ukishindwa kuwa na nakala za matokeo yako na rais mapema umeliwa mdogo wangu
Tumeapa kutenda haki na sio kusaidia wizi Kwa CCM
Tunakupenda Sana, kila lililo ovu juu yako halitafanikiwa!
Upendo Peneza najua unapita hapa au wasaidizi wako wanapita hapa, kuna Mbinu chafu kuzuia ushindi wako Kesho na haya yanafanywa na msimamizi wa uchaguzi Geita Mjini akushirikiana na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi.
Semina zilizofanyika Juzi na Jana wasimamizi wa vituo wamepewa maelekezo kuhakikisha kanyasu na magufuli wanashinda Kwa namna yeyote, wanakiri kabsa kuwa hali ni mbaya Kwa kanyasu na Kwa magufuli pia.
Mbinu watakazotumia
1. Maeneo ambayo hasa ndio ngome yako wameambiwa wahakikishe wanam-frustate wakala wako, akipaniq wataagiza polisi amuondoe Kwenye kituo halafu kitakachofuata kura za kimamluki zitapigwa Kwa Kanyasu na Magufuli
(Namna ya kushughulika na hili wakala atulie asipaniki hata kama atachokozwa)
2. Maeneo mengi ambayo kuna watu hawajui kusoma na kuandika mf. Kaseni, Bwihegule, Nyaseke, Gamashi,, Bumanji na vijiji vya ndani kabsa wataweka MTU wa CCM kuwasaidia kupiga kura Kwa Kanyasu na Magufuli, Sheria inasema MTU mmoja asaidie mtu mara moja lakini tumeelekezwa lazima MTU wa CCM ambaye amepangwa kuwasaidia wewe kama msimamizi wa kituo umtambue na umruhusu kufanya hivyo ili kuokoa chama.
3. Mawakala kukabidhi simu Kwa msimamizi wa kituo. Hii ni Mbinu Yao, hakuna Sheria inayolazimisha wakala kutokuwa na simu kwenye kituo, tulichoagizwa sisi wasimamizi wakala akigoma kukabidhi simu agiza polisi akamatwe na atiwe ndani asitoke,
(namna ya kushughulikia hili mawakala wako wasiingie Kwenye huu mtego watatolewa wote alafu kura zitaibiwa, watulie ni Bora wanyang'anywe simu ila wao wabaki Kwenye vituo kulinda kura)
4. Hizo zote juu zikikwama, matokeo yatabadilishwa Kwenye vituo vya kata Kwa msimamizi msaidizi
(namna ya kushughulikia hili hakikisha Una wakala anayejielewa Kwenye kila kituo cha kata Kwenye majumuisho ya kura, usiwaamini na kuwaachia madiwani pekee)
4. Hakikisha unaweka kituo chako cha kukusaidia kukusanya matokeo (nakala za matokeo za mbunge na rais pindi yanapobandikwa) hili unaweza kulifanya Kwa kanda, kanda ya kasamwa uwe na kituo na pia kanda ya Geita uwe na kituo ili kufikia SAA 2 usiku uwe na nakala zote za matokeo ya ubunge na urais, (nasisitiza nakala za matokeo vituoni uwe nazo wewe na uzitunze vizuri)
5. Vituo vilivyopo Kwenye shule za Nyankumbu girls, Geseco, kasamwa secondary kuwa navyo makini wanafunzi wenye Kadi za kupigia kura wanalazimishwa kumpigia kanyasu na magufuli Kwa nguvu, na wanaweza hata kutumia wanafunzi wasiona Kadi kupiga kura za maruhani
Baada ya hapo unaweza kujumlisha matokeo yako ukiwa umeshinda anzeni kusheherekea ushindi ukimsubiri ndugu apolinary akutangaze, ukishindwa kuwa na nakala za matokeo yako na rais mapema umeliwa mdogo wangu
Tumeapa kutenda haki na sio kusaidia wizi Kwa CCM
Tunakupenda Sana, kila lililo ovu juu yako halitafanikiwa!