Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Unamaanisha baada ya hapo wewe ndio ulimstiri mnyika? Ni swali tu mkuu na ukumbuke sijamhusisha Mnyika bali mnyika kama nilivyokunukuuleo ndio nimejua Upendo Peneza anagombea ubunge, alisababisha mnyika atake kunywa sumu baada ya kumuacha
Huyu huyu Mnyika mjanja wa CHADEMA?leo ndio nimejua Upendo Peneza anagombea ubunge, alisababisha mnyika atake kunywa sumu baada ya kumuacha
Tutawafurahisha mbonaKuna jamaa kibao ni maticha wanaosimamia uchaguzi kila kitu wanatueleza na ukweli ni kwamba wanakubali kwa mdomo huko kwa wakurugenzi but practically hawatafanya huo ujinga
MbwaCHADEMA ni watu wa vurugu na uongo
Mnasingizia baada ya kukataliwa na Watanzania
Mkuu kumbe wewe ni msimamizi?? Wewe ndiye uhakikishe unatenda haki. Ukiona hawakuelewi piga ukungatulichoagizwa sisi wasimamizi
Yaani muruhusiwe kusafiri kwenda Ulaya na amerika bila sababu? hiyo haitokei! Zoea tu! Ishi kwa kipato halali.Tunamwomba MUNGU sana HAKI na UPENDO washinde. Ili tupate furaha ya Moyo tuliyoikosa kwa miaka 5
Kesho, pamoja na wapiga kura, wakala ndiye kila kitu. Wakala: usitoke kituoni hadi mwisho wa kuhesabu kura! Pia, mtakapohesabu kura hakikisha kuwa jumla yake inashabihiana na vibutu vya kitabuni na orodha ya kituoKuna jamaa zangu kibao ni maticha wanaosimamia uchaguzi kila kitu wanatueleza na ukweli ni kwamba wanakubali kwa mdomo huko kwa wakurugenzi but practically hawatafanya huo ujinga
Hilo zezeta la CCM lisiwapotezee muda.Nasikia wewe si B7 tena, bali umeongezewa kutokana na michango yako ya KUJITOA UFAHAMU hapa JF!
Tufanye kazi yetu Kwa mujibu wa Sheria na viapo, tumeapa kutenda kazi Kwa mujibu wa Sheria, aliyeshindwa apewe haki yake aliyeshindwa pia apewe haki yake!Mkuuu hayo uliyoandika ndoo hayo hayo tuliolezwa na kulazimishwa kuyafanya huku Tanga,mm bora kazi wanifukuze kuliko kutenda dhuluma ya wazi wazi na kujitafutia laana ya wananchi.Anaejua maisha ya mwanadamu ni Mungu peke yake,hata hawa wanao tutishia kuwa hata kazi watatufukuza hawajui hata hiyo j'5 kama watafika.Mungu awalaaani wenye kufanya dhuluma na awape misuko suko kwenye maisha yao wasipate raha kwenye viti hivyo wanavyo vitafuta kwa nguvu
Kanye ulale mtoto wa mama/kula kulala.waulize CCM wenye akili timamu, Kanyasu ameshikwa vibaya na Upendo.CHADEMA ni watu wa vurugu na uongo
Mnasingizia baada ya kukataliwa na Watanzania