Uchaguzi 2020 Geita Mjini: Mbinu chafu dhidi ya Upendo Peneza

ukabidhi simu Kwa msimamizi wa kituo. Hii ni Mbinu Yao, hakuna Sheria inayolazimisha wakala kutokuwa na simu kwenye kituo, tulichoagizwa sisi wasimamizi wakala akigoma kukabidhi simu agiza polisi akamatwe na atiwe ndani asitoke
simu wawaachie wenzao nje ya meta 200. watazichukua mara baada ya uchaguzi, kura kuhesabiwa kituoni na kura kutangazwa. Ninakushauri usahihishe pale unaposema kuwa kura zitabadilshwa kwenye vituo vya majumuisho vya kata. Kura za mbunge hazipelekwi wala kujumulishwa kwenye kata bali halmashauri.
 
Labda kura za jamii forum

Uyo msichana wenu hawezi kushinda hata udiwani
Kanue

Kanye ulale mtoto wa mama/kula kulala.waulize CCM wenye akili timamu, Kanyasu ameshikwa vibaya na Upendo.
Alikuwa amejisahau sana,hata iweje hawampigii Kura hata CCM wenyewe.
Kesho kutwa uje hapa jf
 
Kuna jamaa zangu kibao ni maticha wanaosimamia uchaguzi kila kitu wanatueleza na ukweli ni kwamba wanakubali kwa mdomo huko kwa wakurugenzi but practically hawatafanya huo ujinga
Mkuu nilidhani Mwl mmoja jirani yangu ananidanganya kumbe hii issue ni kweli kiasi hichi......ila pia huyu jirani yangu Mwl amesema atasimamia na haki
 
Wamefanya kampeni pekeao miaka 5, lakini chek wanavyohangaika na mbinu za hovyo!
 
Mkuu nilidhani Mwl mmoja jirani yangu ananidanganya kumbe hii issue ni kweli kiasi hichi......ila pia huyu jirani yangu Mwl amesema atasimamia na haki
Mungu ambariki yeye na familia yake!
 
Hayo yakifanyika kuiba kura, nyumbani kwa msimamizi kusikalike!
 
Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.

Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.

P
 
Kura za wizi ukitaka kumuumbua mtu aliyeziongeza ukimaliza kuhesabu linganisheni na zile zilizochomolewa kwenye kitabu na siyo zile zinazotoka kwenye box la kura peke yake then angalia idadi ya wapiga kura sehemu husika
Maccm wakiona unaelekea kuwazidi kete wanaita wasaidizi wao, yaani polisi, unahifadhiwa sero hadi baada ya "mshindi" wao kutangazwa
 
Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Hata ww kada imekugusa?!
Au una interest pale? Maana ile picha.. daah, u look cute together.

Ila seriously, CCM wamefanya dhambi kuu, aliyeshindwa anapewa Ushindi, Mshindi wa kweli anabwagwa akihoji anaswekwa korokoroni!!!

Hata sheitwani atakuwa ameduwaa
 
Wakutakiwa kuacha ujinga ni nyie CCM sio CHADEMA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…