HahahahahaMwanaume kamchinja Mumewake? WTF?
Dah shuwain unaona Sana wewe jamaaMwanaume amemchinja mmewake....!
Hahahaha.. Ameandika akiwa juu ya boda boda.Mwanaume kamchinja Mumewake? WTF?
Hivi kumbe Geita ipo kaskazini?Huko kaskazini mna mambo ya ajabu Sana ... endeleeni kuuwana ....tu ...maana mnajiita matajiri ...
Shubamit
Rahisisha mwanangu.Mwanaume kamchinja Mumewake? WTF?
Angalia ramani.Hivi kumbe Geita ipo kaskazini?
Tatima ndiyo kuwaje?Watoto ndio wameshakuwa tatima hivyo. Hasira nyingine sio kabisa