Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huku pwani tunakula maishaMwanaume amemchinja mmewake....!
Labda jamaa aligundua watoto 7 sio wakeImetokea katika wilaya ya mbogwe kata ya lulembela mkoani geita, ambapo tukio limetokea mida ya saa 6 mchana.
Wawili hao wenye watoto saba imegundulika baada ya mtoto kutoka shule na kukuta nyumba imefungiwa ndani huku mziki ukiwa unapigwa (sabufa) badae mtoto akaenda kuita majirani baada ya kubomoa mlango wakakuta maiti ya mwanamke akiwa amejinjwa shingoni na pia maiti ya mwanaume huyo akiwa na alama ya kisu shingon na tumboni kilipokua kisu,
tayari polisi wameshafika eneo la tukio.
View attachment 1971274
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]MME KAMCHINJA MKE WAKE
Mwanamke hapigwi kofi bali kwa upande wa khanga. Wahenga hawajawahi kukosea; laiti tungeishi kwa busara zao kama hiyo ndoa zingekuwa pepo duniani.huku pwani tunakula maisha
… ubapa wa Panga.Mwanamke hapigwi kofi bali kwa upande wa khanga
Umeshaingiza udini tayari!!![emoji134]wakristo tengenezeni mfumo wa taraka kuwa rafiki ili kupunguza haya mambo.
Kila siku kuuwana nyie tu kama ndio mnajua mapenz???????
Wivu wa Mapenzi! Ni kitu gani hasa hiki?Imetokea katika wilaya ya Mbogwe kata ya Lulembela mkoani Geita, ambapo tukio limetokea mida ya saa 6 mchana.
Wawili hao wenye watoto saba imegundulika baada ya mtoto kutoka shule na kukuta nyumba imefungiwa ndani huku mziki ukiwa unapigwa (sabufa) badae mtoto akaenda kuita majirani baada ya kubomoa mlango wakakuta maiti ya mwanamke akiwa amejinjwa shingoni na pia maiti ya mwanaume huyo akiwa na alama ya kisu shingoni na tumboni kilipokuwa kisu.
Tayari polisi wameshafika eneo la tukio.
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]MME KAMCHINJA MKE WAKE
Dah watu kama nyie ni wachache sana hapa Tz. Mi wanaume mengine ipo inacheka typing error utazani mazwazwa.Kama wote wamekutwa na majeraha, kuna ushahidi gani mwanaume ndio kamchinja mkewe.
What if muuaji alitenda tukio kisha akafunga mlango na kusepa
Geita ni kaskazini, unaelewa kweli hata ramani ya nchi yako?Huko kaskazini mna mambo ya ajabu Sana ... endeleeni kuuwana ....tu ...maana mnajiita matajiri ...
Shubamit
... Watu wana taaluma zao kaka. Mfano maiti zilivyolala na silaha ilipo inaweza kutoa picha. Kwa mfano, kisu kilichotumika kimekutwa kimenasa tumboni kwa mmojawao logic ya kawaida itakutuma muuawaji ni nani?Sasa wamejuaje kati yao yupi ndio aliyemchinja mwezie,kwani mwanamke awezi mchinja mmewe na yeye kujiuwa mnatuonea sana wanaume,kuna mijanamke mikatiliii mjue na ilo pia.....
Nakubaliana nawewe mkuu,biblia imeweka wazi hili Jambowakristo tengenezeni mfumo wa taraka kuwa rafiki ili kupunguza haya mambo.
Kila siku kuuwana nyie tu kama ndio mnajua mapenz???????
Inaonyesha kulikua na sabufa imefunguliwa vol ya juu kabsa harafu huyo mwanaume baada ya kumchinja mkeKama wote wamekutwa na majeraha, kuna ushahidi gani mwanaume ndio kamchinja mkewe.
What if muuaji alitenda tukio kisha akafunga mlango na kusepa