Misss Chuga
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 181
- 330
Anachosema huyo jamaa hapo inawezekana pia.Inaonyesha kulikua na sabufa imefunguliwa vol ya juu kabsa harafu huyo mwanaume baada ya kumchinja mke
ndipo alijaribu kujichija nayeye shingoni sijui akaona maumivu yanazidi maana pembeni kunaonekana kulikua na shati aliivua kwaajiri ya kurahisisha kitendo cha kujichoma kisu tumboni
ameacha watoto saba mmoja yupo 4m5wa kike mwingine 4m4 amehitim