Geita: Mume amchinja mke wake na kisha yeye kujichoma kisu tumboni

Anachosema huyo jamaa hapo inawezekana pia.
 
Kanda ya ziwa wana matatizo gani? Hiii mikoa ni vyema ingekuwa kenya na Rwanda inatuchafua sana sisi watanzania
 
Siku hizi ukikuta sabufu inapiga mziki mkubwa ni vizuri kutoa taarifa polisi au kuita majirani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…