Tutazama siku moja walahi..... Unlike other natural disasters whose occurrance can be predicted with high precision, earthquakes can't be. Earthquake parameters can only be available aftermath and not otherwise!
Mwanza maeneo gani.? Make naishi town kabisa sijasikia mtikiso wowote..Hata hapa Mwanza limepita
Shida sababishi ni uzinzi kuongezeka, acheni uzinzi mtapona.Nachojiuliza kwanini miaka ya hivi karibuni limekuwa likipimata Sana Kuna shida gani..? Waseme haraka tusije tumbukia ardhini!
Aache nani..πShida sababishi ni uzinzi kuongezeka, acheni uzinzi mtapona.
Mzinzi πAache nani..π
Kwasasa sio salama kabisaSasa waliokuwepo migodini ilikuwaje si walitoka nduki
Huo ujasili limeupata wapiNipo Chato hapa limepita pia.
Lilikuwa lumebeba niniMwanza limepita
Tuache ili huo msamiati ufe halafu utatumikaje..?Mzinzi π
Watakuja na jina tuu[emoji849][emoji849]Kahama limepita,ila ukubwa wake ni kidogo. Ngoja tusubiri wataalamu wanasemaje
Limepitapo bwana na limeangusha baadhi ya mauaHalijafanikiwa kupita na chato likatikisa na yale maeneo alikolazwa?