wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Serikali iko fasta kuja na jina vipimo wanakadiria tuuTusubiri ukubwa kwa kipimo cha Ritcher
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali iko fasta kuja na jina vipimo wanakadiria tuuTusubiri ukubwa kwa kipimo cha Ritcher
Lingepitia na pale tocha alikolazwa ingekuwa heri sanaMnaposema limepita - linakua linaenda wapi
Tetemeko hamza halina madhara sanaHata hapa Mwanza limepita
Kule huwa ni vibretion tuu ni sawa na kulipua barutiSasa waliokuwepo migodini ilikuwaje si walitoka nduki
Tutaingiza msamiati mpya wa KUOANATuache ili huo msamiati ufe halafu utatumikaje..?
Huo upo mbona!Tutaingiza msamiati mpya wa KUOA
Halijapata creack?Limepitapo bwana na limeangusha baadhi ya maua
Lekaga buchiluchilo bahebuHuo upo mbona!
Shida sababishi ni uzinzi kuongezeka, acheni uzinzi mtapona.
Nyoro olentumbafu obhebhe! Otozonituja geteLekaga buchiluchilo bahebu
Hahahaa utajimanile ng'hambi ja mbiti nalibona 😆😆🤣Nyoro olentumbafu obhebhe! Otozonituja gete
Mnaposema limepita - linakua linaenda wapi
Anayeagiza tuache uzinzi ni Mungu mwenyewe bwashee, kambi ya Fisi ni mjumbe tu aliyefikisha ujumbe kwamba msipoacha uzinzi mtapigwa na matetemekoHii inanikumbusha mbali sana. Miaka ya 2000 mwanzoni kuna Tsunami ilitokea Thailand nafikiri mwaikumbuka. Kuna maneno kuwa waziri wa mambo ya nje wa Iran (washika Dini) alitoa pole kwa mwenzie wa Thailand lkn pia alimuhasa waache mambo maovu hasa beach tourism ambapo inasemekana wazee wanatongoza vitoto. Baada ya miaka / miezi kadhaa likatokea Tetemeko Iran na kuua watu kadhaa na wengine kujeruhiwa. Mwenzie naye akampa pole lkn akaomba aambiwe ni ubaya gani wamefanya ili nao - Thailand wasifanye na kupewa adhabu kama kilichowakuta Iran. Hivyo bwana Kambi ya Fisi uwe na akiba ya maneno