Pre GE2025 Geita: Viongozi wa dini Chato wachangisha Tsh. Mil 1.4 kwaajili ya Rais Samia kuchukua fomu ya kugombe Urais

Pre GE2025 Geita: Viongozi wa dini Chato wachangisha Tsh. Mil 1.4 kwaajili ya Rais Samia kuchukua fomu ya kugombe Urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Screenshot_20250201_160735_Firefox.jpg

Mchango huo umefanyika katika hafla maalum iliyoandaliwa na Kamati ya Amani ya Wilaya ya Chato inayoundwa na viongozi wa dini mbalimbali kwa ajili ya kuliombea taifa dhidi ya ugonjwa wa Marburg.

Soma: Pre GE2025 - Geita: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Katika mchango hao ambao wananchi pia walishiriki umefanikisha kupatikana kiasi cha Tsh. milioni 1.4 kwa ajili ya Rais Samia kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu mwaka 2025.

Ikumbukwe kuwa hivi karibuni serikali ya Tanzania ilithibitisha kuwepo kwa ugonjwa wa Murburg wilayani Biharamulo mkoani Kagera ambapo ni jirani na Chato Na mgonjwa mmoja kuthibitika kufa.

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Viongozi wa dini hawana chama wala mgombea. Wao wanaombea wanatakiwa kushirikiana na atakayeshinda. Maana kama Mchungaji CCM na Waumini ni Chadema hapo Hakuna kanisa ni vita.
 
Wakuu,


Mchango huo umefanyika katika hafla maalum iliyoandaliwa na Kamati ya Amani ya Wilaya ya Chato inayoundwa na viongozi wa dini mbalimbali kwa ajili ya kuliombea taifa dhidi ya ugonjwa wa Marburg.

Soma: Pre GE2025 - Geita: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Katika mchango hao ambao wananchi pia walishiriki umefanikisha kupatikana kiasi cha Tsh. milioni 1.4 kwa ajili ya Rais Samia kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu mwaka 2025.

Ikumbukwe kuwa hivi karibuni serikali ya Tanzania ilithibitisha kuwepo kwa ugonjwa wa Murburg wilayani Biharamulo mkoani Kagera ambapo ni jirani na Chato Na mgonjwa mmoja kuthibitika kufa.

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kwanini Wasichangishe fedha kwa ajili ya vifaa vya kuzuia radi zinazoua mashuleni? Au Zile radi ni majini yao ya kutafutia hela?
 
Nyerere aliwahi kusema maadui wakubwa wa 3 wa taifa hili ni

1.Ujinga
2. Maradhi
3. Umaskini

Na bado mpaka Leo hii Hawa maadui wa 3 bado hatujaweza kuwatokomeza
hayo maradhi sasa yanarudi kwa kasi ya 6G, WASOMI ndyo hawana tofauti na hayo maradhi
 
Ukuu wa wilaya unatafutwa kila kona bora cheo kifutwe tuuu
 
Back
Top Bottom