Pre GE2025 Geita: Viongozi wa dini Chato wachangisha Tsh. Mil 1.4 kwaajili ya Rais Samia kuchukua fomu ya kugombe Urais

Pre GE2025 Geita: Viongozi wa dini Chato wachangisha Tsh. Mil 1.4 kwaajili ya Rais Samia kuchukua fomu ya kugombe Urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Aisee mwaka huu nyumbu wamekwama haki ya nani, Kila wakijitahidi kuhangaika kujaribu kushindana nae ndo kwanza wanakuota jina la Samia linazidi kupaa tu mawinguni huko. Poleni sana nyumbu kwa habari hii mbaya itakayowakosesha usingizi siku kadhaa. Tafadhali msimtukane mleta mada, ye ametoa tu taarifa.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Wakuu,


Mchango huo umefanyika katika hafla maalum iliyoandaliwa na Kamati ya Amani ya Wilaya ya Chato inayoundwa na viongozi wa dini mbalimbali kwa ajili ya kuliombea taifa dhidi ya ugonjwa wa Marburg.

Soma: Pre GE2025 - Geita: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Katika mchango hao ambao wananchi pia walishiriki umefanikisha kupatikana kiasi cha Tsh. milioni 1.4 kwa ajili ya Rais Samia kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu mwaka 2025.

Ikumbukwe kuwa hivi karibuni serikali ya Tanzania ilithibitisha kuwepo kwa ugonjwa wa Murburg wilayani Biharamulo mkoani Kagera ambapo ni jirani na Chato Na mgonjwa mmoja kuthibitika kufa.

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Bado wale waganga waje watoe mkwara wao. Maana huo mkoa hauishi vituko
 
Wakuu,


Mchango huo umefanyika katika hafla maalum iliyoandaliwa na Kamati ya Amani ya Wilaya ya Chato inayoundwa na viongozi wa dini mbalimbali kwa ajili ya kuliombea taifa dhidi ya ugonjwa wa Marburg.

Soma: Pre GE2025 - Geita: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Katika mchango hao ambao wananchi pia walishiriki umefanikisha kupatikana kiasi cha Tsh. milioni 1.4 kwa ajili ya Rais Samia kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu mwaka 2025.

Ikumbukwe kuwa hivi karibuni serikali ya Tanzania ilithibitisha kuwepo kwa ugonjwa wa Murburg wilayani Biharamulo mkoani Kagera ambapo ni jirani na Chato Na mgonjwa mmoja kuthibitika kufa.

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Samahani nimeona kibarakashee tu. Naomba kama kina wakatoliki nao walikua miongoni mwao kwenye hao viongozi wa dini basi nijuzwe kwa haraka. Kuna jambo ntaka kufanya hapa...
 
Wajinga ndio waliwao! Waendelee kuukuza umaskini wao!
 
Hizi fomu zipo ngapi maana Kila siku nakutana na Uzi watu wamechanga


Afu ccm si walishapitisha wagombea? Au mimi Kuna kitu sielewi hapa
Wajinga ndio waliwao, wakiziwakilisha huwa wanazawadiwa hizo hela. Utapeli tuu unaendelea.
 
Back
Top Bottom