Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adui wa 4 alikuwa hajazaliwa.Nyerere aliwahi kusema maadui wakubwa wa 3 wa taifa hili ni
1.Ujinga
2. Maradhi
3. Umaskini
Na bado mpaka Leo hii Hawa maadui wa 3 bado hatujaweza kuwatokomeza
..hii ni violation of freedom of speech, huna guts za kuvumilia maoni ya wengine?Wamekutapeli nn, we bwege kafanye mambo yako achana na yasiyokuhusu.
Sasa hivi Kuna adui wa nne ambaye ni UCHAWANyerere aliwahi kusema maadui wakubwa wa 3 wa taifa hili ni
1.Ujinga
2. Maradhi
3. Umaskini
Na bado mpaka Leo hii Hawa maadui wa 3 bado hatujaweza kuwatokomeza
Tutawakataa Kwa mapinduzi ya kweli na sio boksi la kuraHakuna cha MUNGU ni kuyakataa haya matapeli yamejificha kwenye dini
Uchawa unasababishwa zaid na umaskini, watu wako tayari kusifia na kuabudu ili tu aendelee tu kubaki katika nafasi nzuri aliyopo ili asirudi kwenye umaskini alikotokeaSasa hivi Kuna adui wa nne ambaye ni UCHAWA
Uchawa ni muendelezo tu wa hiyo namba 3Adui wa 4 alikuwa hajazaliwa.
4. UCHAWA
viongozi wa dini nao huteuliwa mkuu?Ukuu wa wilaya unatafutwa kila kona bora cheo kifutwe tuuu
Bado wale waganga waje watoe mkwara wao. Maana huo mkoa hauishi vitukoWakuu,
Mchango huo umefanyika katika hafla maalum iliyoandaliwa na Kamati ya Amani ya Wilaya ya Chato inayoundwa na viongozi wa dini mbalimbali kwa ajili ya kuliombea taifa dhidi ya ugonjwa wa Marburg.
Soma: Pre GE2025 - Geita: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Katika mchango hao ambao wananchi pia walishiriki umefanikisha kupatikana kiasi cha Tsh. milioni 1.4 kwa ajili ya Rais Samia kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu mwaka 2025.
Ikumbukwe kuwa hivi karibuni serikali ya Tanzania ilithibitisha kuwepo kwa ugonjwa wa Murburg wilayani Biharamulo mkoani Kagera ambapo ni jirani na Chato Na mgonjwa mmoja kuthibitika kufa.
Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Lissu alisema hakubali kutawala chadema legelege kama Mbowe. Lissu anatakiwa awakemee vikali viongozi kama hawaHawa ni wauza unga hata siyo viongozi wa dini
HakikaUjinga ni laana
Wamefanya kosa gani?Lissu alisema hakubali kutawala chadema legelege kama Mbowe. Lissu anatakiwa awakemee vikali viongozi kama hawa
Ngumu snTutawakataa Kwa mapinduzi ya kweli na sio boksi la kura
Dada angu mbona umepaniki?Wamekutapeli nn, we bwege kafanye mambo yako achana na yasiyokuhusu.
Ngumu
Samahani nimeona kibarakashee tu. Naomba kama kina wakatoliki nao walikua miongoni mwao kwenye hao viongozi wa dini basi nijuzwe kwa haraka. Kuna jambo ntaka kufanya hapa...Wakuu,
Mchango huo umefanyika katika hafla maalum iliyoandaliwa na Kamati ya Amani ya Wilaya ya Chato inayoundwa na viongozi wa dini mbalimbali kwa ajili ya kuliombea taifa dhidi ya ugonjwa wa Marburg.
Soma: Pre GE2025 - Geita: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Katika mchango hao ambao wananchi pia walishiriki umefanikisha kupatikana kiasi cha Tsh. milioni 1.4 kwa ajili ya Rais Samia kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu mwaka 2025.
Ikumbukwe kuwa hivi karibuni serikali ya Tanzania ilithibitisha kuwepo kwa ugonjwa wa Murburg wilayani Biharamulo mkoani Kagera ambapo ni jirani na Chato Na mgonjwa mmoja kuthibitika kufa.
Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wajinga ndio waliwao, wakiziwakilisha huwa wanazawadiwa hizo hela. Utapeli tuu unaendelea.Hizi fomu zipo ngapi maana Kila siku nakutana na Uzi watu wamechanga
Afu ccm si walishapitisha wagombea? Au mimi Kuna kitu sielewi hapa