Pre GE2025 Geita: Viongozi wa dini Chato wachangisha Tsh. Mil 1.4 kwaajili ya Rais Samia kuchukua fomu ya kugombe Urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii ndio Tanzania ya kweli,
1. Ujinga
2. Maradhi
3. Elimu
4. Upumbavu
5. Uchawa
6. Kusoma bila kuelimika

Taifa limefikia pabaya.
 
Mnaonje Wana mtandao nao tukamchangia Lissu kuchukua fomu?
 
Itakua pesa za abidu......L
 
Katika maombi yao wamefunuliwa na roho kuwa suluhisho la na tiba ya ugonjwa wa murburg (sina hakika kama ndivyo inavyoandikwa) ni kuhakikisha kuwa mothee anaendelea kuongoza nchi. Ila huyo roho akasahau kuwakumbusha kuwa mothee keshapitishwa kuwa mgombea tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…