Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
90% ya Wakazi wake hawaamini MunguHuo mkoa una matukio kila siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
90% ya Wakazi wake hawaamini MunguHuo mkoa una matukio kila siku
Kama yapi, tofauti na hili na yanahusianaje? Hebu baelezee.Huo mkoa una matukio kila siku
Sasa huyo Mungu si awapige hao ambao Hawamwamini?90% ya Wakazi wake hawaamini Mungu
Habari za Geita mkuuSasa huyo Mungu si awapige hao ambao Hawamwamini?
Kwa nini anawapiga innocent kids, watoto wanafunzi wasio na hatia?
Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
Mkuu ni hatari kabisa.Nimefanya kazi Geita kwa mda mrefu sana na wakati wa mvua ulikuwa wakati mgumu kabisa kwangu zile sio radi ni nyuklia ni mabomu
hili la ajali barabarani ni umasikini wa nchi kushindwa kujenga barabara nzuri, njia mbili. Unaendesha gari mwenzio anakuja mbele akiyumba tu mnagongana uso kwa uso. Hizi barabara kuu zote zinatakiwa kujengwa njia mbili. Unatoka dara mpaka mwanza, arusha, mbeya, tabora iwe ni njia mbili. Barabara za ndani ya miji nazo ziwe na mabega. Ujenzi wa barabara ni mbaya unasapoti ajaliThamani ya kiumbe mweusi anayefanana na binadamu ni ndogo mno. Mamia wanakufa na kuawa baharini wakijaribu kukimbia ardhi yao. Ila viongozi wao wapo zao kimya utadhani wanauawa ni dagaa.
Ajali za barabarani kila siku zinamaliza watu, ila hakuna jitihada za maksudi za kumaliza changamoto hiyo.
Radi Leo imechukua maisha ya watoto 8 na uenda zaidi, ila wataishia kutoa pole tu.
Ila sishangai
View attachment 3215791
Rais wa nchi akitoka huko basi tutegemee mambo ya ajabu ajabu tu.Mkoa wa geita una mambo ya ajabu sana, hauachi kuvuma kwa vifo vya ajabuajabu. Ni mkoa ambao una mambo ya kijima sana, mambo ya kienyeji enyeji ni mengi sana
Radi sio ushirikina.Geita ndio eneo linaloongoza kwa ukatili na ushirikina barani Africa na Duniani