Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #241
Jibu swali wewe ndo kichwa kigumu. Watu800 hawawezi kuwa wagumu wote hata kama Mimi ni mgumuIlitakiwa washambuliwe wangapi kwenye mnada ili wewe ndio uone sawa? We jamaa kumbe una kichwa kigumu kiasi hicho!
Wenye watoto wao wameshatoa maelezo tayari ila wewe bado umekomaa tu!!
Waliokuwepo wanasema jamaa Jana ndo ziliiwa zimefika Waka kamatwaWenye watoto wao wameshatoa maelezo tayari ila wewe bado umekomaa tu!!
Hujui kua watu hua wana upumbavu wa kufuata mkumbo jambo? Kwahiyo idadi ya wajinga kua kubwa ndio inakuhalalaishia jambo? Wahusika wamekubali kua ni watoto wao,au una ajenda gani na hiyo vurugu ya kijinga? Hiyo vurugu inakupa faraja gani kwako? Unafurahia idadi ya wapumbavu inapokua kubwa?Jibu swali wewe ndo kichwa kigumu. Watu800 hawawezi kuwa wagumu wote hata kama Mimi ni mgumu
Taarifa za kutengenezwa na polisi. Uharamia ni mwingi.Hujui kua watu hua wana upumbavu wa kufuata mkumbo jambo? Kwahiyo idadi ya wajinga kua kubwa ndio inakuhalalaishia jambo? Wahusika wamekubali kua ni watoto wao,au una ajenda gani na hiyo vurugu ya kijinga? Hiyo vurugu inakupa faraja gani kwako? Unafurahia idadi ya wapumbavu inapokua kubwa?
Swali gani la maana ulilouliza hapa zaidi ya kila mtu anakushangaa tu ulivyokomaa pamoja na maelezo kutolewa polisi?
Nafikiri vyombo vya ulinzi vinatakiwa kuanza na wewe ili uhojiwe utoe maelezo yaliyonyooka.
Kwahiyo tuamia taarifa zipi?Taarifa za kutengenezwa na polisi. Uharamia ni mwingi.
Kwahiyo tuamia taarifa zipi?
Hapa JF tunajadili kwa mujibu wa mada na data ilizokuja nazo,
Hizo taarifa zako ambazo hazijatengenezwa ziko wapi? Na zenyewe tutaziaminije kua hazijatengenezwa somewhere el
Sawa Poti.Kwahiyo tuamia taarifa zipi?
Hapa JF tunajadili kwa mujibu wa mada na data ilizokuja nazo,
Hizo taarifa zako ambazo hazijatengenezwa ziko wapi? Na zenyewe tutaziaminije kua hazijatengenezwa somewhere else?
MAANA YAKE UMMA UNAHISI JESHI LA POLISI LIMEPIGWA GANZI, Linasubiri kupata maagizo ya kuishughurikia CDM viongozi wake wapande cheoNdich nilitaka kusema, akili ya binadam akijiona hayuko salama anaishi kwa hofu anakuwa anaongozwa na mihemuko.. anakuwa anachukua maamuzi kwa kukurupuka n
Kitendo cha wimbi la utekaji watoto na watu wazima na kuuawa .. huku Vyombo vya usalama vikionekana kama havilivalii njuga hili swala matokeo yake ndo haya .. watu wanatoana uhai kwa mihemuko
Ni kama yale ya wezi kuchomwa moto..
MAANA YAKE UMMA UNAHISI JESHI LA POLISI LIMEPIGWA GANZI, Linasubiri kupata maagizo ya kuishughurikia CDM viongozi wake wapande cheoNdich nilitaka kusema, akili ya binadam akijiona hayuko salama anaishi kwa hofu anakuwa anaongozwa na mihemuko.. anakuwa anachukua maamuzi kwa kukurupuka n
Kitendo cha wimbi la utekaji watoto na watu wazima na kuuawa .. huku Vyombo vya usalama vikionekana kama havilivalii njuga hili swala matokeo yake ndo haya .. watu wanatoana uhai kwa mihemuko
Ni kama yale ya wezi kuchomwa moto..