Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee umenichekesha kupita maelezo.Wanachosha sana. Kuna wengine kule Mara waliandamana kung'oa ile miti ya ngazi ngazi inaitwa panga uzazi. Eti ina mikosi na inasababisha watu kufa!!
Suala zima la kujichukulia sheria mkononi ni ujinga mkubwa sanaUjinga upi ulio uona hapo wewe?
Hapana🤔🤔🤔 Muunganiko na Polisi?
Sawa mwerevu. Kwa sababu police inatatua tatizo palepale on time uko sawa. Nadhani unaishi USA sio TzSuala zima la kujichukulia sheria mkononi ni ujinga mkubwa sana
Nani kauliwa na alikuwa amebeba mtoto wa ndg yake?Imefika hatua Sasa ukiwa mkoani ukikshika katoto ka ndugu yako kakilia na kukukataa tu tayari unauliwa
Yawezekena .huyu alikuwepo kwenye tukio ndo kasema hayaHapo Huenda Kuna ukweli umefichwa haiwezekani watu 800 wafanye maamuzi hayo pasipo uchunguzi wowote haiwezekani
Daah watu kama wewe ni hasara tupu. Hivi una familia inakutegemea kabisa mkuu? Samahani lkn.Hata police wamewaua wachache ilitakiwa wauwawe wengi ili iwe fundisho Kwa jamii nyingine
Najua sana lkn Kwa hili Kuna maswali mengi sana kujiuliza mkuuUnajua maamuzi ya mihemuko ya kundi ambalo uelewa wao ni mdogo?
Nakubaliana nawewe police tunawaomba waendelee kufanya uchunguzi zaidi sio Bure hao jamaaNi ngumu zaidi watu 800 kusema uongo labda Kama wali be MANIPULATED
WATU 30 TU NI WENGI SANA KWENYE KUJUA UKWELI NA UONGO MAANA WATU 30 KWA PAMOJA HAWAWEZI KUDANGANYWA SEMBUSE WATU 800+
wasalaam
Kamwe huwezi pigwa tu kisa una mtoto. Hapo Kuna maswali sanaHii inaleta hofu kwa wageni wanaotaka kwenda huko, na mbaya zaidi ni kua mtu huwezi kujitetea wakishakuhusi na huo mtaa hufahamiki.
Utaulizwa maswali mfululizo na kutopewa nafasi ya kujibu zaidi ya kipigo tu.
Yawezekena .huyu alikuwepo kwenye tukio ndo kasema haya
Nilijua tu lazima Kuna kanamna lame fanyika kuu ficha ukweli mbele ya camera 🙏🙏Yawezekena .huyu alikuwepo kwenye tukio ndo kasema haya
Mjinga pro max niwewe.Ukombozi utoke kwa watu wajinga wanaojichukulia maamuzi bila hta kujiridhisha
Akili Yako imefikia kikimo hapo au badae itaji update upyaHuwajui wabongo kwa kufata mkumbo wewe.
Hata watu 10,000 wanaweza kukosea tu, wangapi wanauawa kwa kuitiwa kelele za mwizi hadi kuuawa na kumbe sio wezi??
Hii tabia ya kupigia watu kelele na kuwashutumu ni wahalifu halafu mnawaua bila uthibitisho wowote ni mbaya sana hii, wengi wasio na hatia wanauawa kwa dizaini hii.
Hao wenyewe wamethibitishwa sio wezi mmoja ni baba wa mtoto, mwingine ni mjomba wa mtoto. Labda kisa hawafahamiki mtaa huo na watoto wanafahamika tayari washaitiwa ni wezi wa watoto.
Ujinga mtupu.
Kwani daslam ilikuwaaje hiv karibuni?Wasukuma shida Sanaa yaan Kuna muda wanakuaga too emotional
Enzi zile za MANYONYA DAMU huko usukumani walikua wakiona LAND CRUISER linapita shuleni au barabarani wanakimbia au kufuata watoto wao shuleni.
Shida Sana hao WATU wasukuma ILLITERATE ni wazito Sana KUELEWA
Maelezo ya ziada nilimpigia .alisema walipo fikishwa kituoni hawa kupata chochote zaidi ya mabomu na Fujo kadhaa. Na wakasambazwa wote.Tupate watu wa Geita wathibitishe maana unaweza kuta walikuwa ni wafungwa wametegeshwa ili kutuhamisha
Hawawezi kukosea nini? Wameshakosea kudhani Kila mwanaume ataeonekana na mtoto basi ni mtekaji. Wamesababisha vifo vya vijana wawili wadogo kabsa. Wasukuma wapumbavu kabisa hao
Soma comment yangu No225Sasa walienda kuwachukua watoto ili wawapeleke wapi?