GEITA: Wananchi wavamia kituo Cha Polisi, wawili wauawa

GEITA: Wananchi wavamia kituo Cha Polisi, wawili wauawa

Kwahiyo hao watu 800 ndio wanawajua zaidi hao watoto kuliko wazazi wao ambao wamethibitisha kua hao watoto ni wao? punguza mihemko mkuu,just use a simple logic to understand it,

Wrong is wrong even if everyone is doing,and right is right even no one is doing it.
Uko sawa mkuu hapa Sina mhemuko wowote ila taarifa Ina maswali mengi zaidi

Kwa uchache tu

Tunaamini mnada mzima ni wanaume 2 pekee ndo walikuwa na Watoto?

Je baada ya kuhisiwa walijibuje?
Kwenye issue kama hiyo lazima kabisa walihojiwa kwanza kabla ya yte na wakajibu jeuri basi raia wakaona Hawa ndo wale wale..

Bahati nzuri mkuu mi nipo jirani tu na maeneo hayo nimeongea na watu wapo hapo kwenye tukio

Soma comment no225
 
Acheni kulishana ujinga mtaendela kuliwa kama kuku.

Si ni juzi tu apa aliuliwa raia ktk mazingira kama ayo ya kituo cha polisi!
Ni hatua gani raia mlichukua baada ya polisi kukatisha maisha ya hao raia ?

Si kila mmoja yupo kwake ameufyata mkia kmya huku mkiaziacha familia za wafiwa na majonzi ya kuondokewa na mpendwa wao ?

Ni afadhali mgekinukisha basi kuwa hatua zichukuliwe kwa hao askar
ila ivo mnavyofanya vurugu mkiuliwa wawili watatu mnaishia kuufyata mkia sio poa.
Tulia wewe hii inawahusu wanajielwa tu. Unapo pambania haki Yako haijarishi utapitia kadhia Gani kikubwa kieleweke hata wanajeshi wetu walikufa kwenye vita ya Uganda.

Kufa kupo pale pale hata usipouliwa na police utakufa tu.

Pole sana
 
Tunaamini mnada mzima ni wanaume 2 pekee ndo walikuwa na Watoto?
Kwanini uamini kua mnada mzima wanaume 2 pekee walikua na watoto?

Kwani ilitakiwa wanaume wangapi wawe na watoto hapo mnadani ili wewe uone kua ni sawa? Siku hizi wanaume kubeba watoto ni kosa?

Wenye watoto wao wameshathibitisha kua hao watoto ni wao,sasa wewe kwanini unaendeleza huo wasiwasi wako wa kuamini?
 
Damu za watu zipi wakati upumbavu wao umepelekea vijana kufa! Yani Mimi nibebe mtoto wangu unisuspect na utake kuniua, kwanini usinihoji kwanza!? Haya wamevamia kituo na watu wamekufa what's next?
Kumshuku mtu sio mbaya, kuwahoji sio mbaya, hata kufatilia muendelezo watuhumia na kesi imefikia wap sio mbaya pia. Tatizo linaanza, kwanini walitaka kuwadhuru watuhumia na jeshi la police ?.
 
Kumshuku mtu sio mbaya, kuwahoji sio mbaya, hata kufatilia muendelezo watuhumia na kesi imefikia wap sio mbaya pia. Tatizo linaanza, kwanini walitaka kuwadhuru watuhumia na jeshi la police ?.
Kuna manipulation ya wanakijiji lazima Kuna kitu behind the scenes ambacho kiliwasukuma wanakijiji kuvamia kituo Cha POLISI
 
Watanzania wanahitaji elimu kubwa sana juu ya haya masuala ya kujichukulia sheria mkononi, Polisi wanapaswa kufanya kazi yao ipasavyo.
 
Vijana wawili wamefariki dunia hii leo Septemba 11, 2024 baada ya wananchi 800 kuvamia na kufanya vurugu katika kituo cha polisi Lulembela wilayani Mbogwe mkoani Geita vurugu zilizoanzia katika eneo la mnada wa Lulembela baada ya watu wawili kuonekana wakiwa wamebeba watoto wawili na wananchi waliokuwa katika mnada huo kuwahisi kuwa ni wezi wa watoto na kuanza kuwashambuilia, ndipo akatokea Mtendaji wa Kata akawabeba kwenye pikipiki na kuwakimbiza katika kituo cha Polisi Lulembela.

Ambapo baada ya watu hao kufikishwa katika kituo cha polisi, wananchi hao walifika katika kituo hicho na kuwataka askari polisi wawakabidhi watuhumiwa hao ili wawaue na Askari walijaribu kuwaelimisha na kuwaeleza ni kosa na si vizuri kujichukulia sheria mkononi lakini walikaidi na baada ya askari kuona hali hiyo ya kuhatarisha maisha ya watu na mali za serikali walitumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya watu hao na iliposhindikana walitumia silaha za moto kwa kupiga risasi juu ili watu hao watawanyike

"Mbali na kushambulia kituo hicho kwa mawe na kutaka kuingia kwa nguvu ndani ya kituo hicho, wananchi hao walichoma moto gari moja lenye namba za usajili T.440 ATW aina ya Toyota Cardina lililokuwa limeegeshwa nje ya kituo hicho na katika vurugu hizo watu wawili wamepoteza maisha, mmoja ni mwanaume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 18 hadi 20 na wa pili ni msichana aitwaye Teresia John mwenye umri wa miaka 18, mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Lulembela ambaye nyumba yao inatazamana na kituo hicho cha Polisi," imeeleza taarifa ya Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini

Aidha taarifa hiyo imeongeza kuwa, "Hata hivyo, ilibainika kuwa watu waliokuwa wamebeba watoto hao ni Emanuel John (33) mkazi wa Kigamboni Lulembela ambaye alikuwa amembeba mtoto wake aitwaye Ikram Emanuel mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi na moja na wa pili anaitwa Ng'amba Leonard (24) ambaye alikuwa amembeba mtoto aitwaye John Emanuel mwenye umri wa miaka miwili na miezi nane, Mama wa watoto hao aitwaye Rachel Luhende (22) amethibitisha kuwa watoto hao ni wakwake na walikuwa kwa wifi yake ambapo baba yao mzazi na mjomba wao walikwenda kuwachukua,".

#EastAfricaRadio

View attachment 3093573
Uongooooo propaganda za ccm ili kuwaogopesha wananchi uongoooooooooo😂😂😂😂 janja ya nyani kwisha jua mimi
 
Kwanini uamini kua mnada mzima wanaume 2 pekee walikua na watoto?

Kwani ilitakiwa wanaume wangapi wawe na watoto hapo mnadani ili wewe uone kua ni sawa? Siku hizi wanaume kubeba watoto ni kosa?

Wenye watoto wao wameshathibitisha kua hao watoto ni wao,sasa wewe kwanini unaendeleza huo wasiwasi wako wa kuamini?
Kwanini washambuliwe wao wawili tu kwenye mnada mzima?

Yaani hujajibu swali langu hata Moja hayo maswayndo unatakiwa ujiulize wewe
 
Kamwe huwezi pigwa tu kisa una mtoto. Hapo Kuna maswali sana
Maswali wapi wewe, au hujawahi kuona mambo ya namna hiyo mitaani??
Unaishi ushuani sana mjomba??

Maisha ya watu wa kipato cha kati na chini ndiyo hayo, hawanaga uhakika na habari zao. Wanaamini sana kile anasimuliwa bila hata uthibitisho na anaweza kua shahidi na kusimama kidete kwa jambo asilo na hakika nalo..

Unadhani hao watu 800+ wote wanamjua huyo mtoto??
 
Dah ...!??Inaoneka ma home boys wamechoka sana mdogo mdogo tu tutaelewana na viongozi masnich kanda ya ziwa haiwafai sisi huku tunataka watu kazi sio wanafiki.Ukileta zako tunazingua.
 
Kwanini washambuliwe wao wawili tu kwenye mnada mzima?

Yaani hujajibu swali langu hata Moja hayo maswayndo unatakiwa ujiulize wewe
Ilitakiwa washambuliwe wangapi kwenye mnada ili wewe ndio uone sawa? We jamaa kumbe una kichwa kigumu kiasi hicho!

Wenye watoto wao wameshatoa maelezo tayari ila wewe bado umekomaa tu!!
 
Back
Top Bottom