Mnachihangu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2022
- 890
- 1,022
Haya mambo nilikuwa siyaamini ila nilikuja kushuhudia visa fulani kijijini ndipo niliookiri kuwa kweli hii dunia ina mambo ya ajabu kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wilson ni nani?Wagindu!
Wilson shimo anatumiwa na madiwani kuwaharasi walimu. Muda wowote atakutana na nyuzi zake humu.
Kwa hiyo na wewe ulibakwa?2009 niliionaga hii mjini Dodoma kwenye taasisi X ya serikalini, ingawa ilikuwa maajabu sana kwangu maana nilikuwa nikidhani uchawi ni hadithi za akina Juma na Uledi kumbe kiuhalisia upo.
NB:
The Sir God is a winning super power to avoid and eliminate witchcraft at always and forever.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mkuu, TELEZA siyo mhuni mmoja, inasemekana ni taasisi iliyoasisiwa Ujiji Kigoma, huko kwingine kuna matawi yake tu.Muhuni mmoja aitwae teleza alitomber sana wanawake Kule Arusha kimaajabu,alivyoanza kufiler wanaume ndipo wakashtuka wakachukua hatua.
Ajabu sana, na milango inakuwa wazi au wanaamka kumfungulia?Popobawa ana simu
Mi ngoja tu nisichangie huu uzi,maana nina maswali mengi ambayo najua tu yatakosa majibu...Hebu waeleze vizuri. Kwamba anaingia na kutoka bila kufungua mlango?
Ujinga wa nini?Nchi hii ujinga bado ni mwingi sana.
Songea pia kuna shule fulani jamaa lilibaka wanafunzi,ila linaingia bila kupita mlangoni, walidai wanaona kama ndoto na wakiamka ni kweliMwaka 2013 haya mambo yalikuwa yakifanyika pia wilayani Bunda,Mara hasa maeneo ya Kibara,Busambara na Kasahunga (anakotoka mchezaji wa NBCL Sixtus Sabilo). Binti wa ripota mmoja wa redio RFA naye alikutana na kadhia hiyo.
Halafu kuna watu wanadai uchawi haupo,basi huwa ninawachekiii.
Kuamini mtu anaweza bakwa kichawi au kuingiliwa na vitu kama Popobawa.Ujinga wa nini?
Kiukweli habari haijakamilika.Mi ngoja tu nisichangie huu uzi,maana nina maswali mengi ambayo najua tu yatakosa majibu...
Hahah nimecheka sana mkuu,Kwamba Ni taasisi iliyofungua branches zake na mikoa mingine.Mkuu, TELEZA siyo mhuni mmoja, inasemekana ni taasisi iliyoasisiwa Ujiji Kigoma, huko kwingine kuna matawi yake tu.
![]()
Wanawake wa Kigoma watoroka wakihofia wabakaji Tanzania maarufu 'Teleza' - BBC News Swahili
Wanawake wa Kigoma wanalazimika kuhama makazi yao ama kulala kwa kurundikana kutokana na kuhofia wabakaji wanaotumia mtindo unaojulikana kwa umaarufu kama 'teleza'.www.bbc.com
Akija kwangu aache na kodi ya meza la si hivyo atanikuta nmevaa skin jeans tatu na chupi ya chuma alaahhWananchi wa Kijiji cha Bugando, Kata ya Nzera, wilayani Geita mkoani humo, wameiomba serikali ichunguze na kumtafuta mtu anayewaingilia usiku wananchi kwenye nyumba zao na kuwabaka hali inayopelekea kuishi kwa mashaka na kuhataraisha afya zao.
Waathirika wa tukio hilo wanasema mtu huyo amekuwa akiingia kwenye nyumba zao na kuwaingilia kimwili kwa nguvu na badae anaondoka bila kuchukua kitu chochote kwenye nyumba zao.
View attachment 2403570
Mmoja wa wanawake wanaodaiwa kuingiliwa kishirikina
"Yani anakuja kwa mazingira ya kawaida anaingia tu yeye mwenyewe sikumuona sura aliponanilia akawa ameiwasha simu yake alipoiwasha simu akanambia usinitazame, nikamwambia sasa wewe nani, akanambia haupaswi kujua, kwanza akaniuliza una watoto, badae alipomaliza kunaniliu hivyo akawa ameondoka, kwakweli sikubahatisha hata kumuona, ndio hivyo akawa amenibaka," amesema mmoja wa waliobakwa kishirikina
Diwani wa Viti Maalum wa Kata hiyo Victoria Ndaki, amesema wameanza kufanya vikao kwa ajili ya kuwatambua wanaofanya vitendo hivyo japo Jeshi limezuia kutokana na sababu za kiusalama.
Mkuu wa wilaya ya Geita Wilson Shimo ameiagiza serikali ya Kata kwa kushirikiana na serikali kuu kuanza uchunguzi ili kuweza kuwabaini watu wanaofanya vitendo hivyo.
"Nimeona akina mama hao na kuongea na viongozi wa hapa Nzera na wameshuhudia kwamba haya matendo yanaendelea hapahapa Nzera, vitendo ambavyo sio vya kiungwana na si vya kiutu, tunaanza kufuatilia kwa ukaribu zaidi mienendo na tabia ya watu wanaofanya vitendo hivyo," amesema DC Shimo.
Chanzo: Eatv
Vitu hivyo vipo wala usibishe ndugu yanguKuamini mtu anaweza bakwa kichawi au kuingiliwa na vitu kama Popobawa.
Sikushangai kwa kutokuamini kwako ila ipo siku yakitokea kwa mtu wa karibu au familia yako ndipo utaamini sawa thomasoKuamini mtu anaweza bakwa kichawi au kuingiliwa na vitu kama Popobawa.