Geita: Wanawake wadai kubakwa na mwanaume usiku kishirikina

Geita: Wanawake wadai kubakwa na mwanaume usiku kishirikina

Mwaka 2013 haya mambo yalikuwa yakifanyika pia wilayani Bunda,Mara hasa maeneo ya Kibara,Busambara na Kasahunga (anakotoka mchezaji wa NBCL Sixtus Sabilo). Binti wa ripota mmoja wa redio RFA naye alikutana na kadhia hiyo.

Halafu kuna watu wanadai uchawi haupo,basi huwa ninawachekiii.
 
2009 niliionaga hii mjini Dodoma kwenye taasisi X ya serikalini, ingawa ilikuwa maajabu sana kwangu maana nilikuwa nikidhani uchawi ni hadithi za akina Juma na Uledi kumbe kiuhalisia upo.

NB:

The Sir God is a winning super power to avoid and eliminate witchcraft at always and forever.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo na wewe ulibakwa?
 
Muhuni mmoja aitwae teleza alitomber sana wanawake Kule Arusha kimaajabu,alivyoanza kufiler wanaume ndipo wakashtuka wakachukua hatua.
Mkuu, TELEZA siyo mhuni mmoja, inasemekana ni taasisi iliyoasisiwa Ujiji Kigoma, huko kwingine kuna matawi yake tu.
 
Maelezo hayaja jitosheleza si angelipiga kelele kuashiria hali ya hatari ndani nwake? Lakini pia hajaeleza huyo mtu aliingiaje au hakufunga mlango? Habari haijakamilika hii msomaji unakua na maswali kibao.🚮🤕
 
Hebu waeleze vizuri. Kwamba anaingia na kutoka bila kufungua mlango?
Mi ngoja tu nisichangie huu uzi,maana nina maswali mengi ambayo najua tu yatakosa majibu...
 
Mwaka 2013 haya mambo yalikuwa yakifanyika pia wilayani Bunda,Mara hasa maeneo ya Kibara,Busambara na Kasahunga (anakotoka mchezaji wa NBCL Sixtus Sabilo). Binti wa ripota mmoja wa redio RFA naye alikutana na kadhia hiyo.

Halafu kuna watu wanadai uchawi haupo,basi huwa ninawachekiii.
Songea pia kuna shule fulani jamaa lilibaka wanafunzi,ila linaingia bila kupita mlangoni, walidai wanaona kama ndoto na wakiamka ni kweli
 
Mi ngoja tu nisichangie huu uzi,maana nina maswali mengi ambayo najua tu yatakosa majibu...
Kiukweli habari haijakamilika.
Wafunge milango vizuri tuone kama bado wanabakwa bila milango kuvunjwa
 
Mkuu, TELEZA siyo mhuni mmoja, inasemekana ni taasisi iliyoasisiwa Ujiji Kigoma, huko kwingine kuna matawi yake tu.
Hahah nimecheka sana mkuu,Kwamba Ni taasisi iliyofungua branches zake na mikoa mingine.
 
Wananchi wa Kijiji cha Bugando, Kata ya Nzera, wilayani Geita mkoani humo, wameiomba serikali ichunguze na kumtafuta mtu anayewaingilia usiku wananchi kwenye nyumba zao na kuwabaka hali inayopelekea kuishi kwa mashaka na kuhataraisha afya zao.

Waathirika wa tukio hilo wanasema mtu huyo amekuwa akiingia kwenye nyumba zao na kuwaingilia kimwili kwa nguvu na badae anaondoka bila kuchukua kitu chochote kwenye nyumba zao.

View attachment 2403570
Mmoja wa wanawake wanaodaiwa kuingiliwa kishirikina

"Yani anakuja kwa mazingira ya kawaida anaingia tu yeye mwenyewe sikumuona sura aliponanilia akawa ameiwasha simu yake alipoiwasha simu akanambia usinitazame, nikamwambia sasa wewe nani, akanambia haupaswi kujua, kwanza akaniuliza una watoto, badae alipomaliza kunaniliu hivyo akawa ameondoka, kwakweli sikubahatisha hata kumuona, ndio hivyo akawa amenibaka," amesema mmoja wa waliobakwa kishirikina

Diwani wa Viti Maalum wa Kata hiyo Victoria Ndaki, amesema wameanza kufanya vikao kwa ajili ya kuwatambua wanaofanya vitendo hivyo japo Jeshi limezuia kutokana na sababu za kiusalama.

Mkuu wa wilaya ya Geita Wilson Shimo ameiagiza serikali ya Kata kwa kushirikiana na serikali kuu kuanza uchunguzi ili kuweza kuwabaini watu wanaofanya vitendo hivyo.

"Nimeona akina mama hao na kuongea na viongozi wa hapa Nzera na wameshuhudia kwamba haya matendo yanaendelea hapahapa Nzera, vitendo ambavyo sio vya kiungwana na si vya kiutu, tunaanza kufuatilia kwa ukaribu zaidi mienendo na tabia ya watu wanaofanya vitendo hivyo," amesema DC Shimo.

Chanzo: Eatv
Akija kwangu aache na kodi ya meza la si hivyo atanikuta nmevaa skin jeans tatu na chupi ya chuma alaahh
 
huyo popobawa anauliza kabisa kama unawatoto ili asipate tabu kupambana na silidi
 
huyo popobawa anauliza kabisa kama unawatoto ili asipate tabu kupambana na silidi
 
Hadi simu jamaa anakuwa nayo duuuh. Basi wasaidiwe inaonekana uchawi wao wa kawaida watakamatika tu
 
Back
Top Bottom