Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Bigaramuro na ngara hazikufaa kua kagera ukiangalia hAta mila na desturi za watu, kutoka kakonko kwenda mkoani kigoma ni mbali afadhali waende chato rahisi kufika na kupata huduma, , Kagera itabaki na wilaya zifuatazo, Kyerwa, Muleba, karagwe na Bukoba yenyewe hivo sio mbaya
Tija yake ni nini?Geita yaridhia kuanzishwa Mkoa wa Chato. RCC yatoa mapendekezo. Baadhi ya maeneo kutoka mikoa jirani. RC Geita Mhe Rosemary Sitaki awashukuru Wananchi kukubaliana kwa hekima bila ushabiki.
Kikao cha Kamati ya Ushauri ya mkoa - REGIONAL CONSULTATIVE COMMITTEE (RCC), Kilichokaa kama kikao Maalum leo kwaajili ya Mapendekezo ya kuunda Mkoa Mpya wa Chato, Kimependekeza yafuatayo:
1. Mkoa Mama wa Geita ubakiwe na Wilaya tatu ambazo ni Wilaya ya Geita, Mbogwe na Wilaya ya Nyang'hwale.
2. Imependeleza iombwe Wilaya ya Sengerema ambayo ipo Mkoa wa Mwanza, ili iweze kukamilisha Wilaya nne za Geita pamoja na Wilaya Pendekezwa ya Busanda.
3. Mkoa wa Chato imependekezwa kwa iundwe na Wilaya za Geita ambazo ni Chato yenyewe, na Wilaya ya Bukombe.
4. Pia imependekezwa kutoka Kigoma, iombwe eneo kutoka Wilaya ya Kakonko, pia kutoka Kagera imependekezwa ziombwe Wilaya mbili ambazo ni Biharamulo na Wilaya ya Ngara.
Mapendekezo haya yamekamilika na yamekubaliwa na wajumbe wote wa RCC.
Sasa yatapelekwa kwenye Wizara husika ili yaweze kufanyiwa kazi.
Zaidi, soma; News Alert: - Geita: Baraza la Madiwani laukataa Mkoa mpya wa Chato
Kupiga 10% mbongo ni mzuri Sana kwenye upigaji.Tija yake ni nini?
Tena nae ajenge kabisa na uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwake aje na hospital ya rufaa kabisa.Bora wangafanya hata Kahama kuwa mkoa ili waipunguzie mzigo Tabora kwa kuimega hasa Nzega kuja Kahama na sehemu zingine
Mbona Chalinze au Butiama hawakuwa na hizi Shobo hii ni dalili ofisi kubwa alikalia mtu wa ajabu sana
Mama wewe wape wanayotaka (Sijui Mikoa) lkn pia wasikuingilie ukianza kuendeleza Zanzibar na Pwani yote , maana wao wameanza wewe maliza tena una njia aliyoionyesha mwenzako (Mwendazake) ya kupendelea kwao na wa makabila ya kwao na wa imani yake (Ndo maana hata porini Dom haupataki huko kwa wa Bara) kutesa kwa zamu
mkuu kuna ujinga mwingi sana hii nchi. Umaacha kuigawa Moro au Tabora halafu unaenda kuokoteza wilaya kwa sababu za utashi wa marehemuBuriani Geita. Ni ushamba kuna ulazima gani? Mbona Morogoro haigawiki?
Tulia mkuu,Chato ni mkoa ambao hautakuwa na mvuto kabisa.
Harafu wanataka kuipotezea radha kagera kwa kuitolea wilaya zake.
Hivi kwa nini wasikate mikoa mikubwa wanaenda kukata mkoa mdogo? Yaani hii nchi tumepigwa kabisa
mkuu kuna ujinga mwingi sana hii nchi. Umaacha kuigawa Moro au Tabora halafu unaenda kuokoteza wilaya kwa sababu za utashi wa marehemu
Nani kakudanganya kwamba Geita ni mkoa mdogo ? Unaijua idadi ya watu wa mkoa huu au unabwabwaja tuTulia mkuu,
Arusha ilimegwa ukatoka Mkoa wa Manyara, machimbo ya Tanzanite yakahamishwa toka Arusha kwenda Manyara.
Mkoa wa Mbeya ukamegwa ikapatikana Songwe.
Hayo ni mambo ya kawaida kabisa,
Kuna msemo unasema mwenzako akinyolewa nawe tia maji.
Si ndo mnachoendekeza watu wa huko! Saa hii mnaanza kudai shule zitakazobaki mkoa wa Kagera. Nyerere aliwaona!Ngara iliwekeza Sana kwenye shule zilizopo bukoba zilipoletwa shule za Kata ikapigwa na sasa unaenda kupigwa ianze moja. Kwani niwemugizi yeye anasemaje
Ndo maana mwanza ikamegwa kua geita.Tulia mkuu,
Arusha ilimegwa ukatoka Mkoa wa Manyara, machimbo ya Tanzanite yakahamishwa toka Arusha kwenda Manyara.
Mkoa wa Mbeya ukamegwa ikapatikana Songwe.
Hayo ni mambo ya kawaida kabisa,
Kuna msemo unasema mwenzako akinyolewa nawe tia maji.
Hizo ulizotaja zilikuwa na sbabu za msingi kabisa. tofauti na geita, kigoma kumegwa ili kumfurahisha magufuliTulia mkuu,
Arusha ilimegwa ukatoka Mkoa wa Manyara, machimbo ya Tanzanite yakahamishwa toka Arusha kwenda Manyara.
Mkoa wa Mbeya ukamegwa ikapatikana Songwe.
Hayo ni mambo ya kawaida kabisa,
Kuna msemo unasema mwenzako akinyolewa nawe tia maji.
Hiyo RCC, siamini kama kuna wenye akili inayofikia hata average human IQ.Geita yaridhia kuanzishwa Mkoa wa Chato. RCC yatoa mapendekezo. Baadhi ya maeneo kutoka mikoa jirani. RC Geita Mhe Rosemary Sitaki awashukuru Wananchi kukubaliana kwa hekima bila ushabiki.
Kikao cha Kamati ya Ushauri ya mkoa - REGIONAL CONSULTATIVE COMMITTEE (RCC), Kilichokaa kama kikao Maalum leo kwaajili ya Mapendekezo ya kuunda Mkoa Mpya wa Chato, Kimependekeza yafuatayo:
1. Mkoa Mama wa Geita ubakiwe na Wilaya tatu ambazo ni Wilaya ya Geita, Mbogwe na Wilaya ya Nyang'hwale.
2. Imependeleza iombwe Wilaya ya Sengerema ambayo ipo Mkoa wa Mwanza, ili iweze kukamilisha Wilaya nne za Geita pamoja na Wilaya Pendekezwa ya Busanda.
3. Mkoa wa Chato imependekezwa kwa iundwe na Wilaya za Geita ambazo ni Chato yenyewe, na Wilaya ya Bukombe.
4. Pia imependekezwa kutoka Kigoma, iombwe eneo kutoka Wilaya ya Kakonko, pia kutoka Kagera imependekezwa ziombwe Wilaya mbili ambazo ni Biharamulo na Wilaya ya Ngara.
Mapendekezo haya yamekamilika na yamekubaliwa na wajumbe wote wa RCC.
Sasa yatapelekwa kwenye Wizara husika ili yaweze kufanyiwa kazi.
Zaidi, soma; News Alert: - Geita: Baraza la Madiwani laukataa Mkoa mpya wa Chato
wivu tu huo kwani Kilimanjaro ina mvuto gani