Geita yakubali kuundwa Mkoa wa Chato; Kakonko, Biharamulo na Ngara kumegwa. Sengerema kwenda Geita..

Geita yakubali kuundwa Mkoa wa Chato; Kakonko, Biharamulo na Ngara kumegwa. Sengerema kwenda Geita..

Mkuu wa mkoa
Kamanda wa polisi
Kamanda wa polisi- usalama barabarani
Kamanda kikosi cha zimamoto
Afisa uhamiaji
Mshauri wa Mgambo
Katibu tawala
Mganga Mkuu wa mkoa
Afisa elimu wa mkoa


Ajira mpya mkoa mpya wa Chato...😅
 
Na Misenyi je ?
Bigaramuro na ngara hazikufaa kua kagera ukiangalia hAta mila na desturi za watu, kutoka kakonko kwenda mkoani kigoma ni mbali afadhali waende chato rahisi kufika na kupata huduma, , Kagera itabaki na wilaya zifuatazo, Kyerwa, Muleba, karagwe na Bukoba yenyewe hivo sio mbaya
 
Geita yaridhia kuanzishwa Mkoa wa Chato. RCC yatoa mapendekezo. Baadhi ya maeneo kutoka mikoa jirani. RC Geita Mhe Rosemary Sitaki awashukuru Wananchi kukubaliana kwa hekima bila ushabiki.

Kikao cha Kamati ya Ushauri ya mkoa - REGIONAL CONSULTATIVE COMMITTEE (RCC), Kilichokaa kama kikao Maalum leo kwaajili ya Mapendekezo ya kuunda Mkoa Mpya wa Chato, Kimependekeza yafuatayo:

1. Mkoa Mama wa Geita ubakiwe na Wilaya tatu ambazo ni Wilaya ya Geita, Mbogwe na Wilaya ya Nyang'hwale.

2. Imependeleza iombwe Wilaya ya Sengerema ambayo ipo Mkoa wa Mwanza, ili iweze kukamilisha Wilaya nne za Geita pamoja na Wilaya Pendekezwa ya Busanda.

3. Mkoa wa Chato imependekezwa kwa iundwe na Wilaya za Geita ambazo ni Chato yenyewe, na Wilaya ya Bukombe.

4. Pia imependekezwa kutoka Kigoma, iombwe eneo kutoka Wilaya ya Kakonko, pia kutoka Kagera imependekezwa ziombwe Wilaya mbili ambazo ni Biharamulo na Wilaya ya Ngara.

Mapendekezo haya yamekamilika na yamekubaliwa na wajumbe wote wa RCC.

Sasa yatapelekwa kwenye Wizara husika ili yaweze kufanyiwa kazi.

Zaidi, soma; News Alert: - Geita: Baraza la Madiwani laukataa Mkoa mpya wa Chato
Tija yake ni nini?
 
Bora wangafanya hata Kahama kuwa mkoa ili waipunguzie mzigo Tabora kwa kuimega hasa Nzega kuja Kahama na sehemu zingine

Mbona Chalinze au Butiama hawakuwa na hizi Shobo hii ni dalili ofisi kubwa alikalia mtu wa ajabu sana

Mama wewe wape wanayotaka (Sijui Mikoa) lkn pia wasikuingilie ukianza kuendeleza Zanzibar na Pwani yote , maana wao wameanza wewe maliza tena una njia aliyoionyesha mwenzako (Mwendazake) ya kupendelea kwao na wa makabila ya kwao na wa imani yake (Ndo maana hata porini Dom haupataki huko kwa wa Bara) kutesa kwa zamu
Tena nae ajenge kabisa na uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwake aje na hospital ya rufaa kabisa.
 
Chato ni mkoa ambao hautakuwa na mvuto kabisa.
Harafu wanataka kuipotezea radha kagera kwa kuitolea wilaya zake.
Hivi kwa nini wasikate mikoa mikubwa wanaenda kukata mkoa mdogo? Yaani hii nchi tumepigwa kabisa
Tulia mkuu,

Arusha ilimegwa ukatoka Mkoa wa Manyara, machimbo ya Tanzanite yakahamishwa toka Arusha kwenda Manyara.

Mkoa wa Mbeya ukamegwa ikapatikana Songwe.

Hayo ni mambo ya kawaida kabisa,

Kuna msemo unasema mwenzako akinyolewa nawe tia maji.
 
Tulia mkuu,

Arusha ilimegwa ukatoka Mkoa wa Manyara, machimbo ya Tanzanite yakahamishwa toka Arusha kwenda Manyara.

Mkoa wa Mbeya ukamegwa ikapatikana Songwe.

Hayo ni mambo ya kawaida kabisa,

Kuna msemo unasema mwenzako akinyolewa nawe tia maji.
Nani kakudanganya kwamba Geita ni mkoa mdogo ? Unaijua idadi ya watu wa mkoa huu au unabwabwaja tu
 
Ngara iliwekeza Sana kwenye shule zilizopo bukoba zilipoletwa shule za Kata ikapigwa na sasa unaenda kupigwa ianze moja. Kwani niwemugizi yeye anasemaje
Si ndo mnachoendekeza watu wa huko! Saa hii mnaanza kudai shule zitakazobaki mkoa wa Kagera. Nyerere aliwaona!



 
Tulia mkuu,

Arusha ilimegwa ukatoka Mkoa wa Manyara, machimbo ya Tanzanite yakahamishwa toka Arusha kwenda Manyara.

Mkoa wa Mbeya ukamegwa ikapatikana Songwe.

Hayo ni mambo ya kawaida kabisa,

Kuna msemo unasema mwenzako akinyolewa nawe tia maji.
Ndo maana mwanza ikamegwa kua geita.
Tena geita imegwe tena?
FB_IMG_16222622301036184.jpg
 
Tulia mkuu,

Arusha ilimegwa ukatoka Mkoa wa Manyara, machimbo ya Tanzanite yakahamishwa toka Arusha kwenda Manyara.

Mkoa wa Mbeya ukamegwa ikapatikana Songwe.

Hayo ni mambo ya kawaida kabisa,

Kuna msemo unasema mwenzako akinyolewa nawe tia maji.
Hizo ulizotaja zilikuwa na sbabu za msingi kabisa. tofauti na geita, kigoma kumegwa ili kumfurahisha magufuli
 
Geita yaridhia kuanzishwa Mkoa wa Chato. RCC yatoa mapendekezo. Baadhi ya maeneo kutoka mikoa jirani. RC Geita Mhe Rosemary Sitaki awashukuru Wananchi kukubaliana kwa hekima bila ushabiki.

Kikao cha Kamati ya Ushauri ya mkoa - REGIONAL CONSULTATIVE COMMITTEE (RCC), Kilichokaa kama kikao Maalum leo kwaajili ya Mapendekezo ya kuunda Mkoa Mpya wa Chato, Kimependekeza yafuatayo:

1. Mkoa Mama wa Geita ubakiwe na Wilaya tatu ambazo ni Wilaya ya Geita, Mbogwe na Wilaya ya Nyang'hwale.

2. Imependeleza iombwe Wilaya ya Sengerema ambayo ipo Mkoa wa Mwanza, ili iweze kukamilisha Wilaya nne za Geita pamoja na Wilaya Pendekezwa ya Busanda.

3. Mkoa wa Chato imependekezwa kwa iundwe na Wilaya za Geita ambazo ni Chato yenyewe, na Wilaya ya Bukombe.

4. Pia imependekezwa kutoka Kigoma, iombwe eneo kutoka Wilaya ya Kakonko, pia kutoka Kagera imependekezwa ziombwe Wilaya mbili ambazo ni Biharamulo na Wilaya ya Ngara.

Mapendekezo haya yamekamilika na yamekubaliwa na wajumbe wote wa RCC.

Sasa yatapelekwa kwenye Wizara husika ili yaweze kufanyiwa kazi.

Zaidi, soma; News Alert: - Geita: Baraza la Madiwani laukataa Mkoa mpya wa Chato
Hiyo RCC, siamini kama kuna wenye akili inayofikia hata average human IQ.
 
Back
Top Bottom