Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Inawezekana kbs gemini hakubali vitu visivyo na ushahidi na anasoma extensively hachagui cha kuingiza kwenye brain yake na unapokuja kubishana naye ujipange hasa. Anaona pande mbili muda wote ukija na tricks akiuliza swali anataka kuona ujinga wako na umejipangaje, anayo majibu muda wote kabla hata hujaongea, huwezi kumkuta kwa mganga wala kwenye maombi na ni ngumu sana kuamini vitu vya namna hiyo!Gemini mwingine ni Kiranga umesahau kumuweka kwenye orodha yako
Ndiyo wana akili sana hasa za darasani lakini hawana akili za maisha na mahusianoInawezekana kbs gemini hakubali vitu visivyo na ushahidi na anasoma extensively hachagui cha kuingiza kwenye brain yake na unapokuja kubishana naye ujipange hasa. Anaona pande mbili muda wote ukija na tricks akiuliza swali anataka kuona ujinga wako na umejipangaje, anayo majibu muda wote kabla hata hujaongea, huwezi kumkuta kwa mganga wala kwenye maombi na ni ngumu sana kuamini vitu vya namna hiyo!
Tafuta issue yoyote inayohusu mawasiliano, ualimu, uanasheria, utangazaji, computer, radio, na vifaa vyote vinavyohusiana navyo lazima utapiga hadi utajishangaa baadayeNa Gemini kila siku anapata rizki, hajawahi kukaa bila kazi, iwe ni ajira au kujiajiri.
Daah... Mkuu Chambusiso hapa kwenye suala la kazi mimi peke yangu ndo nateseka au.. Nimezaliwa May 30 😰😰
Hata mi nimezaliwa trh 31 July,nina tatizo au niseme mkosi wa kupata kazi, Nikipata kazi naishia kufukuzwa , vipi hii ina uhusiano wowote na my birtdate? Msaada tafa
Nope Mimi sijioni Trump wala Kanye najiona Mungu. Najiona katika viumbe wote wa Mungu Mimi ndio bora kuliko wote.LIKUD umeleta mada akajipakulia minyama weeee, ukajiona Trump,hapohapo ukajiona Kanye West🤣
Kuna swahiba wako kwenye comment nae kajiona Nyerere😅
Chambusiso mwalimu wa hii mada ananyoosha rula💪
100% FactInawezekana kbs gemini hakubali vitu visivyo na ushahidi na anasoma extensively hachagui cha kuingiza kwenye brain yake na unapokuja kubishana naye ujipange hasa. Anaona pande mbili muda wote ukija na tricks akiuliza swali anataka kuona ujinga wako na umejipangaje, anayo majibu muda wote kabla hata hujaongea, huwezi kumkuta kwa mganga wala kwenye maombi na ni ngumu sana kuamini vitu vya namna hiyo!
Ina maana umeisha kufaKuna watu walisema mimi Nina akili sana ila zimesha nitoka.
Hii ina maana gani?
🤣🤣🤣 DaaahMsubiri kupigwa mabao na Yanga 😹😹
Qummke hajakufungukia full anamanisha kuna watu huiba nyota wakiona ina ng'aa sana so walikuwahi tangu upo mdogo..Kuna watu walisema mimi Nina akili sana ila zimesha nitoka.
Hii ina maana gani?
Anaamin mambo ya nyota lakin et kashindwa kuamin diniKuamini mambo ya nyota sijui mbuzi kondoo , nge huo ni ujuha na uwendawazimu
Because it is just made up shit by dumb ancient people.Why,,?