Gemu ya Simba na Horoya ilikuwa na mambo mengi ya kufikirisha sana

Gemu ya Simba na Horoya ilikuwa na mambo mengi ya kufikirisha sana

Nimeangalia kwa umakini gemu ya Simba na Horoya huku Simba akiibuka na ushindi wa mchongo wa goli 7 ndio nasema ni ushindi wa mchongo kwa sababu kama hizi.

Magoli mengi ya Simba yalikua magoli ya Sandakalawe penalti, free kick mara beki za horoya zimepoteza mpira kizembe, mara kipa katema...nk sikuona shambulizi lolote la maana lililopangwa likapangika la Simba tofauti na jinsi Yanga inavyotafuta magoli.

Simba walikua na usaidizi wa refa ukiangalia uchezeshaji wa refa ulikua wa upande mmoja alikua akiua Movement nyingi za Horoya kwa kupuliza filimbi huku akiacha za Simba hata kama ni offside.

Sio kwamba Simba walikua bora hii mechi ilichezwa nje ya uwanja either bahasha ya khaki ilitembea au mambo ya kiswahili kwani Simba ndio mafundi wa hizo tabia ref kule South Afrika hawakuona tabu kutaka kuchoma kiwanja cha watu pia kwenye ishu za Bahasha ni mafundi pia ref kesi ya Kabwili na ile ya ulimboka Mwakingwe au walicheza na makipa wa Horoya au walifanya yote kwa pamoja.

Ila sasa wanavyojitamba huku kitaa utadhani walipiga mpira mkubwa kivile la hasha waswahili wanasema yalikua magoli ya piga nikupige tofauti na Yanga unaona kabisa Movement ball inatoka kwa Mayele inatembea kwa Musonda then Kamba.Kushinda kwa Simba kuna mambo mengi sana ya kufikirsha kwani wana kona kona nyingi sana.
Masihara ya upofu na uzuzu
 
Nimeangalia kwa umakini gemu ya Simba na Horoya huku Simba akiibuka na ushindi wa mchongo wa goli 7 ndio nasema ni ushindi wa mchongo kwa sababu kama hizi.

Magoli mengi ya Simba yalikua magoli ya Sandakalawe penalti, free kick mara beki za horoya zimepoteza mpira kizembe, mara kipa katema...nk sikuona shambulizi lolote la maana lililopangwa likapangika la Simba tofauti na jinsi Yanga inavyotafuta magoli.

Simba walikua na usaidizi wa refa ukiangalia uchezeshaji wa refa ulikua wa upande mmoja alikua akiua Movement nyingi za Horoya kwa kupuliza filimbi huku akiacha za Simba hata kama ni offside.

Sio kwamba Simba walikua bora hii mechi ilichezwa nje ya uwanja either bahasha ya khaki ilitembea au mambo ya kiswahili kwani Simba ndio mafundi wa hizo tabia ref kule South Afrika hawakuona tabu kutaka kuchoma kiwanja cha watu pia kwenye ishu za Bahasha ni mafundi pia ref kesi ya Kabwili na ile ya ulimboka Mwakingwe au walicheza na makipa wa Horoya au walifanya yote kwa pamoja.

Ila sasa wanavyojitamba huku kitaa utadhani walipiga mpira mkubwa kivile la hasha waswahili wanasema yalikua magoli ya piga nikupige tofauti na Yanga unaona kabisa Movement ball inatoka kwa Mayele inatembea kwa Musonda then Kamba.Kushinda kwa Simba kuna mambo mengi sana ya kufikirsha kwani wana kona kona nyingi sana.
Manara alishasema pale Utopoloni wenye akilli ni wawili tu. Hivyo hatuwezi kushangaa hili andiko lako.

Kama kuteseka na bado mtateseka sana, mnatamani Chama angekuwa Aziz Ki ila ndo hivyo haiwezekani😆😆😆
 
Nimeangalia kwa umakini gemu ya Simba na Horoya huku Simba akiibuka na ushindi wa mchongo wa goli 7 ndio nasema ni ushindi wa mchongo kwa sababu kama hizi.

Magoli mengi ya Simba yalikua magoli ya Sandakalawe penalti, free kick mara beki za horoya zimepoteza mpira kizembe, mara kipa katema...nk sikuona shambulizi lolote la maana lililopangwa likapangika la Simba tofauti na jinsi Yanga inavyotafuta magoli.

Simba walikua na usaidizi wa refa ukiangalia uchezeshaji wa refa ulikua wa upande mmoja alikua akiua Movement nyingi za Horoya kwa kupuliza filimbi huku akiacha za Simba hata kama ni offside.

Sio kwamba Simba walikua bora hii mechi ilichezwa nje ya uwanja either bahasha ya khaki ilitembea au mambo ya kiswahili kwani Simba ndio mafundi wa hizo tabia ref kule South Afrika hawakuona tabu kutaka kuchoma kiwanja cha watu pia kwenye ishu za Bahasha ni mafundi pia ref kesi ya Kabwili na ile ya ulimboka Mwakingwe au walicheza na makipa wa Horoya au walifanya yote kwa pamoja.

Ila sasa wanavyojitamba huku kitaa utadhani walipiga mpira mkubwa kivile la hasha waswahili wanasema yalikua magoli ya piga nikupige tofauti na Yanga unaona kabisa Movement ball inatoka kwa Mayele inatembea kwa Musonda then Kamba.Kushinda kwa Simba kuna mambo mengi sana ya kufikirsha kwani wana kona kona nyingi sana.
Kama bado haujawa mchawi, na kama haujitambui kuwa wewe ni mchawi. Basi ukiendelea na tabia hii miezi miwili haipiti utapaa kwa ungo tumbafu wewe 😂😂😂😂😂
 
Nimeangalia kwa umakini gemu ya Simba na Horoya huku Simba akiibuka na ushindi wa mchongo wa goli 7 ndio nasema ni ushindi wa mchongo kwa sababu kama hizi.

Magoli mengi ya Simba yalikua magoli ya Sandakalawe penalti, free kick mara beki za horoya zimepoteza mpira kizembe, mara kipa katema...nk sikuona shambulizi lolote la maana lililopangwa likapangika la Simba tofauti na jinsi Yanga inavyotafuta magoli.

Simba walikua na usaidizi wa refa ukiangalia uchezeshaji wa refa ulikua wa upande mmoja alikua akiua Movement nyingi za Horoya kwa kupuliza filimbi huku akiacha za Simba hata kama ni offside.

Sio kwamba Simba walikua bora hii mechi ilichezwa nje ya uwanja either bahasha ya khaki ilitembea au mambo ya kiswahili kwani Simba ndio mafundi wa hizo tabia ref kule South Afrika hawakuona tabu kutaka kuchoma kiwanja cha watu pia kwenye ishu za Bahasha ni mafundi pia ref kesi ya Kabwili na ile ya ulimboka Mwakingwe au walicheza na makipa wa Horoya au walifanya yote kwa pamoja.

Ila sasa wanavyojitamba huku kitaa utadhani walipiga mpira mkubwa kivile la hasha waswahili wanasema yalikua magoli ya piga nikupige tofauti na Yanga unaona kabisa Movement ball inatoka kwa Mayele inatembea kwa Musonda then Kamba.Kushinda kwa Simba kuna mambo mengi sana ya kufikirsha kwani wana kona kona nyingi sana.
Nahis kabisa ulikuwepo uwanjani ukishuhudia jamaa beki mwenye marangi rangi kichwani akikalishwa chini na Chama. Angekuwa Utopolo yule lazima mwiko ungekatikia nyuma huko ulikochomekwa😂.

Wenyewe wameridhika kiroho safi kabisa na huto tugoli 7 walitozawadiwa Lupaso lakini maumivu yamebaki matopeni kwa vyura.
 
Sasa mbona unalinganisha timu zinazoshiriki mashindano mawili tofauti, moja Klabu Bingwa Afrika na nyingine sijui shirikisho?

Shirikisho pale mlipotaka kuchoma nchi ya watu South Afrika ila nyie jamaa bana mliwaza nini kukoka moto kiwanjani kabisa na mafiga mkaweka kabisa[emoji1]
 
Kama bado haujawa mchawi, na kama haujitambui kuwa wewe ni mchawi. Basi ukiendelea na tabia hii miezi miwili haipiti utapaa kwa ungo tumbafu wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ndio namalizia kozi ya kupaa ili twende wote morroco tukaangalie marudio na Raja taka kituo ntakupitia mtani jembe[emoji1]
 
Nahis kabisa ulikuwepo uwanjani ukishuhudia jamaa beki mwenye marangi rangi kichwani akikalishwa chini na Chama. Angekuwa Utopolo yule lazima mwiko ungekatikia nyuma huko ulikochomekwa[emoji23].

Wenyewe wameridhika kiroho safi kabisa na huto tugoli 7 walitozawadiwa Lupaso lakini maumivu yamebaki matopeni kwa vyura.

Eleza kwa maneno 10 manake sijakuelewa mara mwiko mara rangi rangi duuu ngumu kumeza erooo
 
Manara alishasema pale Utopoloni wenye akilli ni wawili tu. Hivyo hatuwezi kushangaa hili andiko lako.

Kama kuteseka na bado mtateseka sana, mnatamani Chama angekuwa Aziz Ki ila ndo hivyo haiwezekani[emoji38][emoji38][emoji38]

Ooops! Aziz k awe chama tena nani kasema mbona safari iliishia pale Berkane halafu ile community Shield 2-1 hakuwepo kwani huyo atawaonea horoya na Vipers tu
 
Yaaan jitu liko huko bonyokwa limekula mihogo basi linakuja kujamba huku eti Simba wameshinda kwa mchongo ...kenge ww mbona na nyinyi hamjashinda hizo saba za mchongo[emoji41]
 
Yaaan jitu liko huko bonyokwa limekula mihogo basi linakuja kujamba huku eti Simba wameshinda kwa mchongo ...kenge ww mbona na nyinyi hamjashinda hizo saba za mchongo[emoji41]

Sio ugali na Sukari tena sema Yanga wanakula Mihogo plus Ugali na Sukari
Mara Kenge yupi sasa yule mwenye ulimi mfupi au mrefu[emoji1][emoji1]
Tuliza Mori erooo
 
Anatia kinyaa kisa tuu hakubaliani na ukweli

Kinyaa tena hebu rudia tena kusoma kama hujaja na comment hakika huo ndio uzi bora toka kwa chambuzi makini kwani nimewasaidia kuwajulisha uchafu wa timu yenu japo mimi Simba pia.
 
Basi moja bila

Hiyo umesema wewe rafiki Sidai mimi japo ni Simba makopo ila ile gemu tulinunua kabisa ulipita mchango wewe hukuchanga mimi nlitoa kibunda kikubwa sana.
 
Inafungwa manchester goli 7, arsenal goli 8 ila unashangaa simba kushinda goli 7. Unadhani kwa malipo ya Tsh ngapi timu ya nje itakubali huo uzalilishaji unaoandikwa kwenye historia? UPUUZI.
 
Inafungwa manchester goli 7, arsenal goli 8 ila unashangaa simba kushinda goli 7. Unadhani kwa malipo ya Tsh ngapi timu ya nje itakubali huo uzalilishaji unaoandikwa kwenye historia? UPUUZI.

Sema nini hauna HOJA Masta, Simba ile gemu alinunua si unajue jamaa wana vikwazo now so wakiona kibunda tu wanachanganyikiwa gemu tuliyocheza halali ni ile ya Raja tu hata ya mtibwa ilipita bahasha sema mimi Simba huwa nachanga sana ngojea nawe nikuunge kwenye grupu la michango
 
Sema nini hauna HOJA Masta, Simba ile gemu alinunua si unajue jamaa wana vikwazo now so wakiona kibunda tu wanachanganyikiwa gemu tuliyocheza halali ni ile ya Raja tu hata ya mtibwa ilipita bahasha sema mimi Simba huwa nachanga sana ngojea nawe nikuunge kwenye grupu la michango
Alinunua Tsh ngapi?
 
Back
Top Bottom